This is one of more than 400 Health Care facilities constructed in less than 4 years under the Strong leadership of Tanzania 's President John Pombe Magufuli.
More than 500 Dispensaries are expected to be constructed in the near future.
This will narrow the accessibility to a healthcare...
Team wasalaam,
Naomba nianze kwa tangazo fupi,
Wale wanaotaka kugombea Ubunge na Udiwani Jimbo au Kata yeyote bara na visiwani kupitia chama chetu tuandikie kupitia.
tlptaifa@gmail.com
Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
KIFO CHA JOHN LENON 8 December 1980
Watu waliotumika kufanya mauwaji ya watu wakubwa , wengi wao ukiwafuatilia wanakua walipata mafunzo ya kijeshi. Au mafunzo na kufanyiwa unyama huu wa Mk-ultra. Kama umetazama movie za James Bond au Jason Bourne USIDHANI yameisha kwenye movie tu, haya mambo...
" HAYA NDIO MAMBO MATANO( 5 ) KATI YA ISHIRINI NA MOJA ( 21 ) YANAYOISUKUSUMA ZAIDI LABOUR PARTY YA TANZANIA KUMUUNGA MKONO MHE DK JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KUELEKEA OCT 2020 "
1. Watumishi 32,555 wenye dosari serikalini,
Nyote Mtakumbuka March 2016 Mhe Dk John Pombe Joseph Magufuli...
Amechukua fomu za kuomba kugombea tena Urais kupitia CCM. Ameingia tena kwenye mchakato wa ndani ya CCM wa kumpata Mgombea wetu na baadaye kupeperusha bendera ya CCM kwa ngazi ya Urais kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba, kama atapitishwa.
Huu ndiyo muda muafaka wa kumjadili, kumsema na kumkosoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.