Jamii ya wayahudi imekuwa ni jamii inayolindwa sana duniani kiasi kwamba ukiongea neno lolote lenye kiashiria kibaya au cha kibaguzi dhidi yao hata kama ni cha ukweli lazima wakushughulikie.
Ila jamii ya watu weusi kutwa kucha inabaguliwa lakini hatua hazichukuliwi na inaonekana ni sawa tu...
Kwa wapenda amani wote wa ulimwengu huu!
Umewahi kujiuliza why Israel infanya jinai with impunity? Yaani hawaogopi lawama wala hawana aibu yeyote ya kibinadamu katika kufanya jinai zao? Unatumia madege ya kivita kupambana na mtu uliyemzingira nchi kavu, baharini na angani akiwa amebeba manati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.