Habari JF,
Natafuta chumba chakupangisha maeneo ya Mbezi Beach (Mbuyuni, Africana, Makonde, Shule, Kogoo, Tank Bovu, Massana) au isipite Goba Kayuni ukienda na njia ya Goba
Chumba kiwe ni kikubwa na Master.
Mwenye nyumba aisiwe kwenye nyumba moja.
Wapangaji wasiwe wengi (8+).
Kuwe na uzio/fensi...
Kigamboni magogoni, pc
Chumba kimoja 1 master na jiko ndani
Maji bure
Kodi 180,000 kodi ya mwezi
Miezi (6)
Mita 15 barabara kubwa
Vyumba vyote ni vipya.
Piga 0712347749
CHUMBA MASTER PAMOJA NA SEBULE VINAPANGISHWA
*Inapatikana Mbezi Mwisho, mtaa wa Muhimbili karibu na stendi mpya ya mabasi ya mikoani.
*Nyumba ina tiles, gypsum, maji yanapatikana
*Gari inafika mpaka mlangoni
*Kodi kwa mwezi ni Tshs. 120,000
Tuwasiliane: 0659-358-599
Nyumba haina dalali fika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.