Al-Shabab Football Club (Arabic: نادي الشباب) is a Saudi Arabian professional football club based in Riyadh. It was founded in 1947, and was at first named Shabab Al Riyadh. (شباب الرياض), but in 1967* was renamed Al Shabab.
Story hii ni ya ukweli takribani miaka 7 sasa imetimia tangu tukio hilo litokee.
Kiufupi ilikuwa hivi.
Mama mzazi wa Binti ambaye alikua ni mjane kutokana na Hali duni ya maisha baada ya miaka mingi kufiwa na mume wake aliendelea kuishi kwa shida huku akipambana kutafuta chakula na kusomesha...
Baada ya shambulizi la risasi na mabomu lililoua Watu 21 na kujeruhi 117 katika hoteli Nchini Somalia, Rais wa taifa hilo, Hassan Sheikh Mohamud ameahidi vita kali ya kutokomeza aliouita ugaidi wa Kundi la Al Shabab.
“Ninajua Wananchi wa Somalia wamechoshwa na rambirambi na maombolezo...
Takriban watu sita wameuawa na vijiji kuchomwa moto na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabab katika mji wa pwani wa Lamu nchini Kenya.
---
Six people have been killed and homes torched in an attack Monday by suspected Al Shabaab militants in Kenya's coastal Lamu region that borders...
Retired chief of the general staff, general Karangi ambaye ndiye alikuwa mkubwa wa majeshi 2012 wakati KDF iliitimua Al Shabab kutoka Kismayu aelezea planning iliyofanyika ili kuiwezesha Kenya kuchukua city hii kutoka kwa Al Shabab. City hii ya Kismayu ni muhimu maana ndio mji wa pili kwa ukubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.