Angestahili msafara wa magari mangapi?
Uliza ya mkwere, hadi ambulance!!
Hayo safi kabisa yanatosha...hii nchi ina amani ya nini kutembea na msururu wa migari 20!?!
Kweli Dkt Magufuli ni chaguo la Mungu. Na Mungu pekee ndiye atamlinda mja wake.
Hayo safi kabisa yanatosha...hii nchi ina amani ya nini kutembea na msururu wa migari 20!?!
Kweli Dkt Magufuli ni chaguo la Mungu. Na Mungu pekee ndiye atamlinda mja wake.
Eeh Mungu uishie najua wewe ndiwe ulietupa huyu Rais Magufuli...nakuomba umlinde umtunze umkinge na kila adui wa ndani na nje..umlinde atokapo umlinde aingiapo umlinde alalapo umlinde aamkapo..eee Bwana wa Mabwana hakuna linalokushinda tusaidie please...!
Basi tuwe walinzi wa rais wetu kama anavyolindwa rais wa Uruguay.
Nipo hapa seaview, upanga. Ni saa 1:20. Rais wetu anapita akiwa na pikipiki 2,za polisi na magari manne tu. Halafu hakuna kufunga barabara. Jamani, haya ni maajabu. Tumempata kiongozi.