Ndugu,
Najua watu huwa wanapenda sana kukosoa kama wewe hivi, lakini ukweli huwa unabaki pale pale. sisi ni wanakikundi cha ujasiriamali, huu ni utambulisho; shughuli tunayokutangazia ni biashara ya mchele. Anuani ni hiyo email. Kwa watu wenye mahitaji hayo watatutafuta.
Mwisho wa yote...
JAMII MEMBERS HELLO,
HABARI ZA MCHANA WANA JAMII. NAPIGA HODI JAMVINI. POLENI NA HONGERENI KWA KAZI YA KUFAIDISHA JAMII.
NAPENDA KUWATANGAZIA KUWA SISI NI KIKUNDI CHA WAJASIRIAMALI. TUNA UZA TUTAUZA MCHELE KUANZIA MWEZI NOVEMBA, 2012 NA JANUARI, 2013.
TUNATAFUTA WATEJA WAKUNUNUA MCHELE KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.