POTTASIUM;-Education means-Information about anything.Pia kuelimika ni pamoja na kujua na kupambanua mambo hivyo bac hii topic sio dhambi kuwepo katika jukwaa hili.Waweza tembelea jukwaa la siasa pia utaikuta mada hii.
"TAFAKARI CHUKUA HATUA".Kuwa makini unapotaka ku-argue kitu...
Katika rasimu ya katiba mpya inayopendekeza muundo wa serikali tatu kwa kuwa na " SHIRIKISHO " la bara na visiwani kwa kumaanisha kwamba Muungano wetu utaendelea kuwepo mimi naona si sahihi kwani kama tunahitaji muun gano basi tuwe na serikali moja tu.Mantiki yangu ni kwamba,maneno...
Jamani hebu tujadili na hili,katika rasimu ya katiba mpya inayopendekeza muundo wa serikali tatu kwa kuwa na "SHIRIKISHO" la bara na visiwani kwa kumaanisha kwamba Muungano wetu utaendelea kuwepo mimi naona si sahihi kwani kama tunahitaji muungano basi tuwe na serikali moja tu.Mantiki yangu...
Jamani hebu tujadili na hili,katika rasimu ya katiba mpya inayopendekeza muundo wa serikali tatu kwa kuwa na "SHIRIKISHO" la bara na visiwani kwa kumaanisha kwamba Muungano wetu utaendelea kuwepo mimi naona si sahihi kwani kama tunahitaji muungano basi tuwe na serikali moja tu.Mantiki yangu...
Kaka SUA WEB kulikua kimya sana pia,lakini sasa kuna habari njema ya jana 27/09/2012 hasa kwa wale 2liokosa mikopo ule ni unafuu kwe2 kwamba minimum ya malipo ya tuition fee ni at least nusu (50%) ya annual tuition fee kwa maana kwamba kwa sisi wa science courses ni 631,500/= na sio kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.