Habari zenu humu mimi beginner kwenye field hii ya software engineering ninaomba msaada kwa wale senior/experienced software developers..
Ninapata taabu sana kwenye swala zima la ku-initiate project lets say nina idea ya kitu flani nashindwa kujua niazie wapi (assuming ninajua language X)...
Habari wakuu, nauza laptop aina ya Dell inpiron N5040 yenye sifa zifuatazo
Laptop specs.
model;Dell inpiron N5040
RAM; 2GB
processor; intel pentium p6200
speed; 2.13GHz
system type; 32 bit Os
Os; window 7 pro
HDD; 320GB
Usage;1 month
HDMI Support
Price:500000(negotiable)
3 usb ports
Contact me...
habari wakuu, mimi natumia window 8.1 N built 9600(not activated) tatizo ni kwamba tangu jana nina experience some difficulty
matatizo nayokumbana nayo ni haya
1. nikifungua my computer inatumia muda mwingi kufunguka kiasi kwamba ikifika mwisho inagoma
2.nimejaribu kufungua task manager...
habarg wajf natumia laptop aina ya dell latitude D630 inauwezo wa sim card ila siwezi kuitumia ninaomba msaada kwa anayejua ni program gani naweza tumia kuconnect na intanet
habari wana jf kwa mwenye ujuzi wa kuongeza ukubwa wa movie naomba anisaidie. Nina TV aina ya sony flat scream inch 14 inauwezo wa kusoma flash disc but kwenye format ya MPEG tatizo ninapo convert movie na kuplay kwenye TV huwa inaonyesha picha ndogo sana. Msaada kwa mwenye ujuzi wa kuongeza...
Tukiachana na suala la kuweka miguu ndani ya maji,nadhani kuna njia nyingine nyingi ambazo watu hutumia. Huwa kwa kawaida kuna uvivu huwa unatokea kabla ya kushika daftari. Tusaidianeni jamani
Habari wanajamii naombeni msaada wenu katika hili je ni kwanini watahiniwa wa kujitegemea(private candidate) wanafeli sana au kuna upendeleo katika kusahisha na je maksi zao zinatofautiana vp na school candidate yaani katika watu 100 afaulu 1 sio kwamba walikuwa hawasomi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.