Wewe ni -------- kati ya wapumbavu waliopo. Kila mara post zako huwa ----- mtupu. Unapenda kushambulia watu binafsi badala ya hoja. Sisi tunajadili hoja iliyoko mahakamani wewe pimbi unamjadili mtu binafsi - kijo Bi simba. Eti wewe nawe great thinker.
Kuna kashfa zilizotoka kwenye gazeti la Changamoto zikimhusisha zitto kuchota pesa kwenye taasisi za serikali zilizochini ya kamati yake ikiwepo Ngorongoro kreta kwa kutumia NGO yake. Mpaka sasa hajajibu kashfa hiyo, ina maana ni kweli.
Zitto hata aseme nini hakuna mtu anayemwamni tena! Naona muda umepita habari zake hazijatoka Mwananchi au rafiki aliyekuwa anamjenga kimkakati amegoma?
Ben saanane, thread kama hizi nyinyi viongozi wa chadema na wafuasi wenu mnatakiwa kuzipuuza. Kitendo cha kuja hapa maana yake mnawapa vichwa waleta propaganda.
Kwa hili la Madawa ya kulevya yanayoangamiza watoto wetu, tuache uccm na uchadema kwanza - vijana wetu kwanza. ktk hili Aweda alikuwa sahihi kuhoji usafi wa NZOWA. Tuache ushabiki.
Mwigulu Jinga kweli, yaani hajui watakuja watu wangapi yeye anawaita waandishi wa Habari. Sijawahi kuona Bogus kama wewe. Tuachie jimbo letu tumpe Dr KITILA au mtu mwanachadema mwingine. Umeumbuka Loh!!!
Clouds fm alitumia milioni ngapi kwa matangazo yote? Halafu njoo kwenye gharama za maandalizi mengine. Hitimisha na ukumbi mil 2. Hata wanyiramba wamechoka. Dr KITILA anajichukulia jimbo kilaini.
Aibu mwigulu aibu, hii ni aibu ya mwaka. Aibu sana na pole sana. Mimi ni ccm lakini mambo yako yametuchosha. Sakata la Lwakatare umeidhalilisha sana chama, hushaurika. Masifa tu. Aibu yako mwenyewe.
Ana maana ana rafiki yake ambaye ameajiriwa au mfanyakazi wa polisi (siyo kamanda/hajasomea upolis- ni raia) na anafanya kazi kitengo cha uhalifu(nurse, karani, mfagiaji, mhasibu nk) alimwambia story kama hiyo hiyo! Umeelewa?
Point of correction kwa mujibu wa gazeti,
Moja aligombea kupitia ccm na mwingine Chadema. Wote ni majambazi ila wa chadema hakushinda. alibwagwa. Kwa hiyo kiukweli kuna jambazi ambaye ni Diwani wa ccm. jambazi aliyegombea kupitia chadema alikuwa amejiunga na chadema ili agombee ili amsaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.