Ningependa kipindi cha tuongee asubuhi kirushwe redioni (rfa) ili kutoa fursa kwa watu wengi zaidi kusikiliza na kuchangia.my take huwezi kutenganisha haki na amani kwenye jamii na katika tz yetu amani inahubiriwa wakati haki haipo sio rahisi jambo hili "haki kwanza amani itakuja yenyewe"
Jama naomba kuelimishwa katika hiki kitu bima ya afya kwa wanachuo hususani faida zake kwa mwanafunzi kwa sababu mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu ambacho ni cha serikali katika chuo hiki wanafunzi tunachangia 70000 za matibabu lakini hakuna utaratibu wa bima ya afya kama baadhi ya vyuo kwa...
Jama naomba ushauri kwan kwa muda sasa nimekuwa nikitumia hiki kinywaji lakini nnapo amka asbhi kichwa hwa kinak'wa kizito na mdomo k'wa mzito na kama michbko flani kwenye 'limi hlp pl'z je kina matatizo flani kwa wa2miaji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.