Wali nyama na mirinda orange a hv naweza pika mwenyewe hata kama wife hayupo, cjapanga foleni bado ya manyanyaso.huyu wakimpa ucku mmoja lakairo hoteri c atasaliti chama.
Ningependa kipindi cha tuongee asubuhi kirushwe redioni (rfa) ili kutoa fursa kwa watu wengi zaidi kusikiliza na kuchangia.my take huwezi kutenganisha haki na amani kwenye jamii na katika tz yetu amani inahubiriwa wakati haki haipo sio rahisi jambo hili "haki kwanza amani itakuja yenyewe"
Nadhani baada ya kuyajua hayo hutampeleka mwanao shule bali utamfundisha mwenyewe kuhusu milango 9 ya fahamu ila kabla ya hapo soma ki2 kinatwa child development n remember tht teaching is a profesional na walim hujua nini mtoto anatakiwa kusoma dah! Mwlm kazi anayo" lie"after the whole...
Jama naomba kuelimishwa katika hiki kitu bima ya afya kwa wanachuo hususani faida zake kwa mwanafunzi kwa sababu mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu ambacho ni cha serikali katika chuo hiki wanafunzi tunachangia 70000 za matibabu lakini hakuna utaratibu wa bima ya afya kama baadhi ya vyuo kwa...
Hii ndiyo maana ya jf photo sio mapicha mengine kama ze utamu .thnx mleta picha inatupa wakati wa kufikiria kuhusu wanao tuzunguka unaweza kuwa kama huyo mtoto nyumbani ,ofisini,kwenye gari au popote pale na tel u the truth kutoa kunakufanya uwe na furaha zaidi kuliko kupokea ,naipenda jf.
Jama naomba ushauri kwan kwa muda sasa nimekuwa nikitumia hiki kinywaji lakini nnapo amka asbhi kichwa hwa kinak'wa kizito na mdomo k'wa mzito na kama michbko flani kwenye 'limi hlp pl'z je kina matatizo flani kwa wa2miaji?
Grp d watatumia nguvu nyingi sana kusönga mbele jambo ambalo linaweza kuharibu progress yao kwenye ligi za nyumbania hasa kwa madrid.soka lko mbele c ngoja 2jiliwaze na mabonanza ya voda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.