Habari wanaJF,
Mimi kero yangu nimekutana nayo kutoka kwa kaka mmoja anayepokea nyaraka za kumkatia mama yangu Bima ya afya kanishangaza sana, mwanzo aliniambia jina la mama yako haliendani na lililopo cheti cha kuzaliwa. Nikaenda RITA kwa ajili ya marekebisho, nikarudi kwake akaniambia mama...
ndg watanzania wenzangu hii rushwa ivi chanzo chake hasa nn?Sasa imeanza kuingia hadi kwenye chama ninachokipenda nadhani wote mnakijua ambacho kimeibua mambo mengi sana wengi wetu tulikuwa hatuyajui nikianza na swala la "RICHMOND","EPA"sasa hapa napata kigugumizi tena ninaposikia kuna mh.flani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.