Also kuongezea point zako, dunia ingekuwa flattery satellite zilizorushwa angani, zingekuwa stationary at only place.
Maana lengo la sattelite ni ziwe zina point at one particular point.
Kungekuwa hakuna haja ya kuzi design ziwe zinazunguka angali sawa na rotation ya dunia kwa ajili ya...
Kilicho chako hakipotei, mercy hukupangiwa kuwa na wewe. Ulikuwa unalazimisha tu. Na dokta katumika kama catalyst tu ya kukuonyesha mercy ni mtu wa aina gani. Mercy angekuwa hamtaki dokta,angemla block mapema tu.
Umekaa na mwanamke miaka mitatu hajabeba mimba, ila kaenda kwa mwingine miezi...
Zinaweza kuwa zinajirudia
Ila ili biashara ikulipe inategemeana na sehemu ulipo, na kitu gani kinapatikanika na kipi hakipatikaniki, kisha unacheza na gap.
Ukiwa Tunduma kuna biashara zake
Ukiwa maeneo ya migodi kuna biashara zake
Ukiwa znz kuna biashara zake
The same for Tanga, Arusha,Mwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.