Nini kimebaki kuwa cha kweli mpaka sasa?
Usiamini mwanasiasa anayetaka kuwaongoza watu kwa lazima hata kama wamemchoka hahahaha. wanambinu zaidi ya ujuavyo....
Si lazima uwe na akili inayozungumzwa hapo kwenye CV....
KUONGOZA NI KIPAWA, Nyerere PhD yake alisomea wapi? Nyerere alikwa ni Professor wa nini?
Acheni siasa.
Huyu alitakiwa kuwa mtaalum tu na kuishauri sherikali juu ya mambo ya madini na gesi.
Vyama vingine bwana!
Eti Zito Kabwe nae anaogopwa na Chama na wanachama zaidi ya million 5?
Eti Zito nae anataka kuwa Rais wa Tz?
Eti Zito nae anataka awe maarufu kuzidi CDM?
Kati ya mambo ambayo Mwl JKN hakuyapenda ni hayo na akikugundua ndo ulivo anakutoa haraka Sana chamani.
TOA ZITO NI...
Ninamashaka Sana na taarifa. Baba aliniambiaga hivi.....ukitaka kuamini wa hata Kwenye jambo la UONGO ambalo unajua watu hawataka kuwa na data za kweli kwa mda Hugo....BASI ONGEA KWA KUJIAMINI SANA NAO WATAKUAMINI TU KWA UONGO WAKO.
Biashara HURIA.
Hata hivyo * TIMES walikiuka mkataba.walitakiwa kuonyesha channel hizo kwa muda na baadae kuanza kulipia kwa kuwa wao wanapata faida na wakapuuza makubaliano hayo.
Kuna ukweli asilimia nyingi sana kwenye hichi ulichoandika.
Nimeambiwa,kuna wajerumani ambao wameanza kutafuta sanduku lenye rupia kwenye baadhi ya mito kwenye milima ya Uluguru.
Inasadikiwa hutumia ramani flani kuweza kutambua eneo hilo lililowekwa hilo sanduku lililosheheni rupia na vitu vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.