mie ya kwangu net iko poa ila simu haifanyi kazi mwaka na nusu sasa nisharipoti weeee mpaka nimechoka juzi nimeenda mwenyewe pale plaza na wakampigia simu fundi mbele yangu na wakampa na namba zangu kama atapotea, hivi ninavyo sema nina wiki naendelea kumvumilia labda ana kazi nyingi sana
vijana wa kitanzania waliopo south afrika hali zao zinasikitisha sana wana jf juzi nilipigiwa simu na mmoja wao akiwakilisha wenzie 51 alinambia kwamba maisha ya kule yamewashinda na walikuwa wako uwanja wa ndege wa johernesberg walipopelekwa na maofisa wa ubalozi wa tanzania ili kurudishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.