Kumekua na maneno mengi kuwa demokrasia ya Africa ima-fail na wengine ku-mock kuwa demokrasia imetushinda wa Africa na hivyo tugeukie mpira.
Swali ni kwamba where did we go wrong? Ni kweli Demokrasia imetushinda au ni kwamba kuna namna ambayo tunaweza ku Africanize political systems na ku-come...
Habari wanajamvi.
Kuna kitu nimki experience muda si mrefu uliopita nikaona ni vema ni-share nanyi.
Nina ndugu yangu ambaye ni mjane na hali yake ya kimaisha si mazuri sana. Wakati ninahangaika kutafuta ajira alikua akiniombea sana na kunitia moyo, Mungu akanijaalia kazi na nilipomuarifua...
Habari wanajamvi,
Kuna jamaa aliwahi kuniambia kuwa mpenzi wake aliwahi kumuambia (kipindi wanaanza uhusiano) kuwa mpenzi wake a zamani wake alimuambia kuwa kila akiwa naye madili yake yanatiki sana.
lakini akijaribu kumuacha mambo yanavurugika vibaya mno. Huyo msichana akasema kuwa alienda...
Leo nilikua ninaangalia documentary ya unsealed conspiracy files, na kwenye episode ya kwanza na ya pili walizungumzia sana masual ya biological weapons, yani the creation and use of diseases to perish other human beings.From the same documentary inasemekana kuwa kuna some scientific evidence...
Habari za leo wakuu.
Ninaomba kwa anayeweza anisaidie ufafanuzi wa suala hili.
Jioni hii nilipokua nimetulia nikakumbuka ndoto niliyoota usiku wa kuamkia leo.
Ndoto hiyo ilikua ni kama ninatembea usiku na jamaa ninaye mfahamu (japo simfahamu kiuhalisia ila kwenye ndoto nilikua nahisi kama...
Nimeoa mwanamke wa Tukuyu na hivi sasa tunaishi Tanga ambapo ndio ninafanya kazi na wazazi wa upande wangu wana-reside Tanga pia. Tatizo ni kwamba wakwe wanapenda sana mke wangu awe anarudirudi nyumbani kwao.
Mwaka jana kikazi nilikua Moshi na kipindi cha christmas walikua wanakomalia sana...
Henry Kissinger (Political scientist, Diplomat, pia aliwahi kuwa secretary of States) now ni mmoja wa wanaochochea sana New World Order (au Anglo-American Order kama mchambuzi mmoja anavyoiweka) aliwahi sema "Who controls the food supply controls the people; who controls the energy can control...
Ni muda mfupi tangu nimuoe mke wangu na tumebahatika kupata mtoto wa kiume mwaka jana. Tatizo ni kuwa,muda huu mke wangu kaongeza mapenzi kwangu ila mimi simpendi tena kama ilivyokua zamani na hata hamu naye imepungua. Sina nyumba ndogo na sijawahi kutoka nje ya ndoa hata mara moja wala sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.