Ni kweli iwapo CCM haitadiriki Wizi wa kura, Vitisho, Uongo na Rushwa! Muwe wakweli na Mungu atawabariki kinyume chake mtalanika
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mbona hata Mheshimiwa sana Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu aliidhinisha rushwa kwa kusema hiyo ni Takrima na sawa kutolewa. Amesahau?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mmmmh mwanawane, hawa wajomba nomaa kweli kweli,! Wanalipika, linawashinda wakikosolewa wanakimbilia kuliweka sawa na kisha kujiita shujaa wakati hoja iliibuliwa na mtu mwingine? Hivi hansard za Bunge hazioneshi ni Mbunge gani aliyeshughulikia hoja maalumu ya kupinga fao la kujitoa? Ushujaa wa...
:A S 465::A S 465:Ni dhahri kuwa Kauli ya Werema ilimlenga moja kwa moja Tundu Liso kwani ndiye aliyekuwa akijibiwa hoja yake kwa wakati huo. Matusi au maneno ya kejeli na dharau si kitendo cha kiungwana kwa mtu yeyote mwenye akili timamu. Aidha kuunga mkono Tabia mbaya kama alivyofanya Naibu...
:A S 465:Sera na sheria hazitangazwi na Meneja wa Tawi moja la Hifadhi ya Jamii. Wasemaji wa NSSF au SSRA wako wapi ili watoe tamko Hilo rasmi na taratibu za utekelezaji wake pasipo kuleta mtafaruku kwa wanachama wa hiyo mifuko!
Huyu ni mwanamme au mwanamke? Hana matiti, hivyo cyo mwajnamke pia hana kifaa hivyo ananipa mash aka ya ujinsia wake ndiyo maana Hana hofu ya kuoga popote!
Huu si uungwana kabsaaa! Hivi huyu kijana mshamba asipo muowa huyu demu mbumbumbu, si atakuwa amemwaribia future yake. Mtu gani wa maana atataka kuwa na mke mwenye history chafu kama hiyo picha inavyojionesha. Au itawezekana JK akamteuwa mwanamke kama huyo kushika nafasi yoyote ya madaraka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.