Wakuu nawaombeni msaada kujua kama hii kampuni wanaaminika kwenye kuuza na kusafirisha hayo matreka. Niliona trekta la kunifaa kwenye website yako, gharama zote including usafirishaji nililipa dola 5,795.
Cha ajabu msafirishaji (courire) waliyempa hiyo kazi anadai kwa sheria za SA ni lazima...
Nipo kituoni hapa Iringa kihesa kituo cha kilimani, naona wadada na wakaka Wana t shirt na kofia zenye nembo ya Tume ya uchaguzi, Je hivi ni vielelezo tosha? Hawapaswi kuvaa vitambulisho? Naomba ufafanuzi tafadhali...
Ninaandika proposal ya research flan (Community/medicine), kila article ninayo-google inakuja vizuri, lakini napata abstract tu, nikitaka kupata full research/reference naambiwa log in au ninunue.
Sina hizo dolari, hivi hakuna njia rahisi/software ya kupakua hivyo vitabu? Kwa mwenye uelewa wa...
Wapendwa wana Jf,
Napenda kumshukuru Mungu kufikia mwishoni mwa mwaka salama, na ninazidi kumwomba atuvushe hadi mwakani salama salmini.
Awali ya yote ninapenda kuweka wazi mimi si mfuasi na sina kadi ya chama chochote cha siasa, ila nimekuwa nikifuatilia masuala mbali mbali ya kiuchumi na...
Hi wakuu,
Naomba msaada wa link au kunipa maelekezo yatakayo niwezesha kudownload drivers za cnon Ir2318
CC MziziMkavu Mwl.RCT, Mkwawa, watu8 na wengine
Leo nimekuwa katika bank ya NMB nikifuatilia mambo yangu, bahati mbaya nilichelewa kupata huduma iliyonipeleka. Kwa kipindi nilichokuwa hapo kuna wateja kama watatu walikuwa wakilalamikia makato yasiyo na maelezo yenye tija ambayo walibaini katika bank statement zao.
Nilibahatika kusikia...
Nawashanga wadada mnaowachomolea wakaka wakati mnatamani kuingiapeponi. Huko kutakuwa na equal chances, na hao mnao wakataa ndio mtakuwa mnawapa burudani
Wadau naombeni msaada wa kuwajua Hawa jamaa, nataka kununua gari kutoka kwao, naomba kujulishwa hawajamaa ni wa kuaminika? Na condition ya magari yao ipoje? On average ni Siku ngapi nitasubiri? Msaada tafadhali kwa wenye uzoefu nao
Wadau samahani, najua leo ni siku ya kazi! Nimeangukiwa sijui niseme na bahati ya mtende au balaa!Saa 10 usiku wa leo mrembo mmoja ambaye nimemsotea zaidi ya miaka 3, kanitumia sms kwa WhatsApp just hi, nkaanza kuchat nae, nikampleka peleka peleka amenipa apointment ya saa 4 Asubuhi hii kwenye...
Wapendwa wana MMU wenzangua. Ni jioni nyingine tena napenda kuwashiriksha juu hili tatizo la Mgogoro kati wa maisha ambao huwakumba watu wengi walio katika kipindi cha mpito yaani kuhama kutoka ujana na kuingia utu uzima. Aghalabu katika kipindi hiki ndoa/mahusiano mengi huvunjika na pia kuna...
Asalaam aleykhum wana MMU wenzangu.
Imekuwa ni suala la kawaida kwa wake/wapenzi/hawara zetu kulalamika kuwa hawafikishwi kileleni katika suala zima la tendo la ndoa/ngono. Na hivyo basi imekuwa ni jambo llilizoeleka kwa wanaume walio wengi kutumia ndimi zao kulamba papuchi au kutumia vidole vya...
Hawa ni mabinti/Vigori wa Kimang'ati wakiwa wamejipanga tayari kwa kuchaguliwa wachumba na hatimaye kuolewa. Tukio hili hufanyika kila sikukuu kubwa kama Xmass, mwaka mpya na Pasaka
Na hawa vijana wa kimang'ati ndio waoaji, huruka juu na kutoa ishara kwa mabinti vigori wa upande wa pili...
Wanajamvi, Jf ni jamii ya watu wenye tabia, mienendo na taaluma mbali mbali! Kuna mada mbali mbali zinatolewa hapa na watu tunajimwaga kuchangia. Tunawajua matajiri wa hapa Jf, nadhani tajiri wa kutupwa ni Bishanga. Mtu mwenye wake wengi ni Paw, Mwenye vimada wengi ni erickb 52, nadhani umefika...
Wapendwa wadau wa jukwaa hili, sina hakika kama hapa ni sehemu sahihi ya post yangu!
Naomba kuweka wazi, mimi ni Me, hii kitu inayoitwa shedo wanayojipakaa wadada inanipa shida.
Nawaomba wadada, mnaopenda na kujua hii kitu mnifafanulie juu ya haya yafuatayo
1. Mazingira yapi ni sahihi...
MziziMkavu hii ni salamu ya Lugha yetu adhimu yenye mamlaka kwa watu waliondani ya ubongo na mtima wangu, bro nakupa hii hadhi, wengine ni Wiyelele-huyu amepotea jukwaani, Preta, tayari nishampa zake, Bujibuji tokelezea pokea zako, King'asti umepoa sana mama, snowhite-uyimwiki kamwali? Fixed...
Ingawa inaaminika siku hizi waowaji hawapo ila nawapa big up wale wote walitimiza tukio/tendo hili adhimu la kufunga ndoa, sitaki niulizwe kama nimepitia hii kitu au la, ila kwa hisani ya my waifu Preta, nitasoma maoni yenu ila sita jibu
Kifupi nimeshangazwa kutumiwa kaujumbe kafuatako na...
Wapendwa wa Jukwaa hili!
Nimekuwa nikifuatilia mashindano na tuzo mbali mbali zinazotolewa kwa members wenye sifa mbali mbali hapa CC, mfano ile ya "Best couple"
Nimeshawishika kuleta hii khabari/jambo hili hapa tumpate mtaalam wa ukuwadi, akishapatikana-kuna kazi nataraji kumpa kwa malipo...
Habari wana Jf
Toyota RAV 4 ya mwaka 1995, ni nzuri na Imara, in good condition with good fuel consumption, unaweza kuipata kwa 11million, maelewano yapo.
Kwa sasa gari lipo Iringa
Kwa mawasiliano 0765 522 665 /0654 384 885
Najua nilikuaga Mpenzi wangu Preta, najua ulinisikia, na ninahakika huna amani kwa safari yangu! Ni vigumu kujitenga nawe, huko Tabora ninakoenda na idadi ya siku nitakazo kaa hakika zitakuwa ngumu na nyingi sana kuliko siku zote ambazo nimeishi hapa duniani! Preta Mpenzi, kimwili nitakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.