Maajabu
Wednesday, 23 February 2011 09:29
*Paka anyofoa nyeti za babu
*Akimbia na kuzila
Na Waandishi Wetu, Manyara
MAJONZI na masikitiko vilisababisha kikao cha wazee kuvunjika ghafla baada ya mzee mmoja kunyofolewa sehemu zake za siri na paka aliyekimbia nazo.
Tukio hilo limetokea...
Ndugu wana JF
Wengi nadhani mliliona tangazo hili
"natafuta mpenzi wa kike kwa ajili ya mahusioano ya kudumu,
mimi ni mwanaume single na ninaumri wa miaka 25, ningependa awe na umri wa kuanzia miaka 32-45
awe anaishi dar es salaam"
Baada kusota benchi kwa miezi 8 bila timu wala kuchakachua...
natafuta mpenzi wa kike kwa ajili ya mahusioano ya kudumu,
mimi ni mwanaume single na ninaumri wa miaka 25, ningependa awe na umri wa kuanzia miaka 32-45
awe anaishi dar es salaam
Goodmong everbody!,
ACSEE-2008 results are out
But u have to know center number or registration number of the candidates,
for center number you can get it here
http://moe.go.tz/NectaResults/MATOKEO%20MAY%202007/alevel.htm
then after copy it, you just paste it here
Na Ramadhan Semtawa, Dodoma
UFISADI umezidi kuitikisa nchi baada ya Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma kubaini mtandao mkubwa ambao umesababisha malipo hewa ya Sh3.4 bilioni kwa walimu wa shule za sekondari nchini.
Kubainika kwa ufisadi huo kumekuja miezi michache baada ya gazeti...
Nipefungua hii blog, nimekuta habari ya kusikitisha sana!
http://michuzijr.blogspot.com/2008/03/sio-sawa-hata-kidogo.html#comments
Imenigusa sana habari hii, hivi ni utu kweli, hata kama ni kusafisha jiji. Jiji lenyewe kama kijiji kikubwa tuu hakuna cha maana wala nini kwa nini?.
Cuba's ailing leader, Fidel Castro has announced he will not return to the presidency in a letter published by official Communist Party paper, Granma.
"I neither will aspire to nor will I accept, the position of president of the Council of state and commander in chief," he wrote in the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.