Ng'wamapalala you should know better. Unajua kabisa kwamba kitendo cha madiwani, wenyeviti wa vijiji etc huko Arusha kuhama CCM kwenda Chadema is a real consequence of the flawed CCM nomination processes that recently took place in Dodoma. Sasa unaposema haya ni maigizo una maana gani, wakati...
Inashangaza pale serikali inaposhawishi watu wake walioko nje ya nchi kurudi nyumbani kutumia taaluma walizozipata. Kwa somo kutoka alichofanyiwa Balali na Dr. Masau, tutabanana huku huku. Bora kutumiwa na wanaotuthamini. Serikali nafiki hatutaiweza, inang'ata na kupuliza. No uzalendo at all.
Kwa kweli inashangaza pale Rais wa nchi anaacha kuangalia mambo ya maana yanayoikumba nchi na kuhangaika kwenye nonsense agendas ikiwa kuiangamiza historia ya Tanzania. Kwa kweli huyu Rais si chaguo la Mungu wala wanadamu, labda la Freemasons.
Kwani CCM mbona wasianike kwa wananchi hela wanazopata kwa wafadhili? sana sana wameiingiza nchi kwenye hasara na umasikini mkubwa kwa kutumia hela za wananchi kwenye uchaguzi wakimtumia Rostam kama mgongo wao. Tena wananuka hawatoweza kamwe kujisafisha. Let Chadema takes a lead coz CCM mmezeeka...
Hivi jamani hii tabia ya jeshi la polisi kupenda kutumia umbea kujitetea imetoka wapi? Haiwezekani muhusika kapayuka tu coz hana akili nao waseme ndo mwenyewe. Kwanza huyu mtu wangetakiwa wamuache akili irudi vizuri, afu watumie tumu huru na wana psycholojia kumhoji, na kutumia vifaa kufanya...
Mi nahisi baba yako inabidi akuite akufunde. Pia kama vile ulikosa mapenzi ya mama? coz hiyo kujishika sana na akina dada sio kawaid. Perhaps kuna stage in puberty uliiruka and its taking place while your almost aging. Au ndio kudhani utawakomoa hao vimwana na wake zako uliowaacha Lemutuz LeBaharia?
Kwanza inanishangaza Rais wa nchi kwenda kujadili mambo ya uzazi wa mpango na kuacha mambo mengine ya muhimu zaidi, ikiwemo kutafuta suluhisho la madaktari. Kwani alikosa mwakilishi yeyote kutoka hata wizara ya afya au kwenye taasisi na wanaharakati kama TGNP na kadhalika? Hata mke wake mama...
Hawa waliokuja na hizi pingamizi nao bunyeye tu. Eti gharama za contraception ni nyingi over ya kununua ARV for HIV? what is the best solution?...prevention of the HIV/AIDS by providing contraceptives or kusubiri wapate HIV/AIDS ili wawape ARV? eti vijana wanafanya ngono sana coz of...
Yaelekea Dr. Masau aligoma kutoa fungu...maana hii inchi bila rushwa hata biashara yako inafungwa. Au hana kadi ya CCM? coz I used to see watu wanaweka eti picha ya president au vipendera vya magamba kwenye biashara zao ili zisifungwe. Huu uzalendo mchwara huu?
Jamani muwe pia mnaenda na fact. Kama waliosoma ni wachache, msishange kuwaona wachache kwenye mawizara.....elimu ya madrasa haitoshi...labda uwe mfagiaji.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.