Rumishaeli
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 227
- 72
Kama vipi ikiwezekana mabango yote yawe yamefika kwenye vijiwe vya chuma chakavu kesho asubuhi. huu ni usenge mtupu
Sijapata ona Rais kituko kama uyu..what has Mwaikibak done in Tanzania,E.A Nations or Africa in large.,hizi fadhila zina nin ndan yake...uyu jamaa jins muda unavyoenda CV yake inaporomoka...Mkuu janga la taifa ni neno ndogo. Kikwete is a disaster for tanzania
acha utoto wewe, mbona samora kapewa barabara nzuri katikati ya jiji wakati huyo samora alikuwa raisi zuzu la africa? Hongera kikwete kwa kumpatia raisi wa kenya jina zuri la heshima . Nujoma kapewa barabara wakati ni bronzo la kukubuhu, mwai kibaki na sifa nzuri za kujenga taifa bora la nguvu za uchumi africa, lazima aenziwe na sisi. najua ungefurahi sana kama ungesikia jina la mtu kama arafat au ahmedinejad wanpewa heshima hiyo, kwa sababu ni ma anti west.Napatwa na hasira kweli kuiona picha ya Kikwete popote pale. Yaani ni hasira mbaya sana !
Kama vipi ikiwezekana mabango yote yawe yamefika kwenye vijiwe vya chuma chakavu kesho asubuhi. huu ni usenge mtupu
Watanzania msiwadanganye watoto na vijana wetu. Pale Nairobi kuna barabara ina majina ya maraisi wetu wa sasa na zamani. Pale chini ya Ikulu ipo barabara yaitwa Nyerere road. Then ipo nyingine japo fupi yaitwa Kikwete. Mi sioni shida hapa. Kumbuka pamoja na matatizo ya Kenya , Mwai Kibaki anabaki kuwa rais wa kwanza kuachia madaraka baada ya mihula miwili.Hatuwezi kuwa watu tunaopinga tu kila kitu
kuachia mihula miwili ina maana katiba haimruhusu au?acha kupotosha unafanya kama kaachia madaraka kwa hiariWatanzania msiwadanganye watoto na vijana wetu. Pale Nairobi kuna barabara ina majina ya maraisi wetu wa sasa na zamani. Pale chini ya Ikulu ipo barabara yaitwa Nyerere road. Then ipo nyingine japo fupi yaitwa Kikwete. Mi sioni shida hapa. Kumbuka pamoja na matatizo ya Kenya , Mwai Kibaki anabaki kuwa rais wa kwanza kuachia madaraka baada ya mihula miwili.Hatuwezi kuwa watu tunaopinga tu kila kitu
acha utoto wewe, mbona samora kapewa barabara nzuri katikati ya jiji wakati huyo samora alikuwa raisi zuzu la africa? Hongera kikwete kwa kumpatia raisi wa kenya jina zuri la heshima . Nujoma kapewa barabara wakati ni bronzo la kukubuhu, mwai kibaki na sifa nzuri za kujenga taifa bora la nguvu za uchumi africa, lazima aenziwe na sisi. najua ungefurahi sana kama ungesikia jina la mtu kama arafat au ahmedinejad wanpewa heshima hiyo, kwa sababu ni ma anti west.
Old bagamoyo is historic name, why kibaki road? What happen?