Mkulima amejiwa na mwaandishi wa
magazeti kumuhoji ... kuhusu maisha ya
shambani,na mkulima huyu hawapendi
waandishi wa habari akaona bora
amchoshe katika kujibu maswali,
na mambo yakawa hivi; MWANDISHI: Wewe unawalisha ng'ombe
chakula gani?,
MKULIMA: Ng'ombe yupi Mweupe au
Mwekundu...
mama alitoka job, kuingia tu ndan
mwanae mdogo kampokea na
kumwambia mamy subr
nikuammbie kitu, mama
akamkatisha, akamwambia
utaniambia baadae coz saa hz naenda kupika,
akiwa anapika
mtoto kaanza "mama leo...." mama
akamkatisha tena, bas baadae
wakiwa wamekaa wote dining
wanakula yaan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.