Mkuu please review the differences concern your matter.
Master's of Arts DegreeTo put it simply, a Master's of Arts degree is a degree option that is focused on areas such as the humanities. Types of subjects where most Master's of Arts degrees are available are communications, English...
wakati mwingine Mungu huwa anakuonyesha dalili zake mapema kuwa kama huyo ni wa kufa na kuzikana, hakika huyo hafai hata kidogo achana nae kabisa ipo siku atakuacha humo ndani peke yako, ki ukweli nakushauri uachane nae sogeza mbele mambo mengine yaendelee,
ukweli kabisa hapa ninapata picha halisi haina hata haja ya kuwauliza watu kwenye utafiti wa kula mbolea. nimesoma comments nyiiingi sana ki ukweli karibia 70% wanaonyesha kama wanaupenda mchezo huu ila wanaogopa kusema wazi wazi na ndio wanatoa comments ambazo sio negative halafu 25% wao...
Mkuu basha hilo neno nahisi limekuja hivi karibuni ila wote ni gays maana wanoshiriki matendo ya jinsia moja wa wanaume wanaitwa gays ila anaegongwa anaitwa bottom gay anaegonga anaitwa top gay na anaegonga na kugongwa anaitwagay vers so woote ni gays hakuna cha afadhali hapo mkuu
Eee mungu mkubwa nilishakuja na story hapa mdogo wangu alifanyiwa kitendo kichafu na huyu kigogo huyu na kuomba ushauri nifanyeje ila mlinishambulia sana na kwa matusi wengine wakanikebehi sasa nashukuru wengine wameyaona nina mjua kabisaaa na nilishakutana nae kwenye case ya mdogo wangu. Soon...
Huu ugonjwa nilikuwa siuujui Nilienda hospt maana nilikuwa na tabia ya kufanya mapenzi bila kinga. Jamaa walinipiga sindano tatu za kinga kuzuia ugonjwa huo after 5 yrs ndio nitachomwa tena. Sijui hapa home kama ipo hii huduma
Mkuu hapo kidogo haupo sawa hapo wewe unaZungumzia wafanyabiashara ambao wapo kwenye mfumo wa vat wakati hawa tayari wanazo mashine since 2011 na tayari wanaendelea na biashara zao hawa wanogoma ni wale ambao hawamo kwenye vat registered wanatumia Tin number tu na kitu kikubwa hapa ni kwamba ni...
mijitu mingine bana sijui huwa tunatoa maoni kwa kujifanya sisi ni wasafi sana? yaani pesa nitafute mimi matumizi mnipangie nyie?? hii imekaaje?? na zikiisha mtanisaidia tena kuzitafuta? ebu mmpeni break mtoto wa watu atumie anavyotaka zikiisha atatia akili za wapi kuzipata na kuliko kubwabwaja...
mkuu umeleta mada ambayo ki ukweli tukianzia kwa yule wa zanzibar pamoja kuwa na familia ila anavyoharibu watoto wa watu mwenyezi mungu ndio anajua ila kwa sababu sisi watz tulivyo wanafki watatuambia tumetumwa kumchafua ila ukweli hata silaha ya kummaliza kisiasa asichukue uraisi wa zenj na...
mkuu kila mtu atavutia kwakwel kwa uzoefu wa camera walizozitumia kwa upande wangu nunua smart camera Galaxy samsung model EK-GC100 mkuu hii ni kama tablet ndogo maana unaweza ku upload picture, kutuma msg kwenye simu ya mkononi maana inatumia line ya simu, kutuma email na mambo mengine kibao,
ha ha ha ha kongosho wewe ni noma na mchokozi mr charles kachanyikiwa duh na mtu kapata kazi faster, ila interview hii labda muwe wawili tu ila kama ni zaidi ya wawili wanaokuuliza maswali huwezi hii kitu, ni full drama usiwadanganye dada zetu wakafanya hivi aisee wataonekana wote malaya,
JIbu: ukimuuliza swali HR atakujibu kuwa kuna utofauti aliesoma nje na ndani ya nchi mkuu, sasa utofauti wake mimi siujui zaidi, halafu mkuu ukisema woote ni watoto wa mafisadi wanaosoma nje utakosea mkuu
mkuu kwa kifupi tu makampuni haya husema waliosoma nje kidogo afadhali wana upeo mpana kuliko tuliosoma hapa nyumbani hilo la watoto wao sijalithibitisha maana hii summit ni mwaka wa kumi inafanyika na nina imani kuna wadau hata humu jf walipata ajira kupitia hiyo summit rafiki yangu ni...
mkuu mtanionea bure aisee mimi nimeliongelea hili kwa uzoefu nilioupata kutoka kwa watu waliopata ajira kupitia huko nje ni kweli kabisa ukiangalia unaweza kusema kuna upendeleo ila haya makampuni huamini kuwa vijana waliosoma nje na wanaofanya kazi nje kidogo wana upeo kidogo kuliko wa nyumbani...
ha ha ha mkuu mbona umenishambulia hivyo? duh kweli watu wana hasira na kazi usiwalaumu wao kuna kampuni ya GCC ndio huwa inafanya kazi hiyo sio Tanzania tu ni africa kwa ujumla wanafunzi waliosoma uk hupata nafasi hizo, na hiyo kampuni ilianzishwa kwa ajili ya kuwarudisha wasomi walioko europe...
mkuu mleta mada sijui kama hilo lina ukweli na research yako ni kweli Kuna ajira NMB na hawa jamaa walienda UK kutafuta watanzania wanaoishi au waliosoma UK kwenye mkutano unaoitwa africa summit ulifanyika this may na huyo HR hakuwa anamfahamu hata mtu mmoja na walioenda karibia woote...
mkuu hapo kwenye hapo kwenye red kwa uelewa wangu hakuna kitu kama hicho kwa waislam kama kuna shule ya kiislam na wanatumia neno seminary basi wamechukua mfumo ukristo bila wao kujua nini maana y hilo neno neno seminary linatumiwa na wakristo au wayahudi tu (jewish) kwa uelewa wangu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.