Duuu hii ni hatari kama una moyo mwepesi unaweza kuzima. Basi na usingizi umekata kabisa hi ni mara ya kwanza kusikia mbua kali kama hii kwa hapa dar huku tabata mambo shwari mpaka tukiamka asubui ndio tutajua adhari iliuotokea vipi huko kwako?
Mshana huwezi kutumia mfumo wa reverse kama break hizi ni part mbili tofauti kabisa kulingana na speed ya ndege hata kwa dawa reverse haiwezi kuingilia mfumo wa break kwenye mfumo wa gari tuuu ni shughuli
Mara nyingi nimekuwa nikifatila uzi za hapa JF kuona kile kinachoendelea lakini nimegundua kuwa kuna uzi zinasomwa Sana hapa nakupata comments kubao.
Pia nimegundua mara nyingi uzi hizo nizile zinazogusa jamii hasa mambo yandani sana ya jamii pia maswala ya siasa huwa yanasomwa sana.
Je, wewe...
Mhh ngoja nianze kwa haraka na kwakifupi ili na wewe uione hii picha alafu uniambie itakuwaje huko mbele..
1.Idadi ya wanawake nikubwa kuliko wanaume
2. Kuna wanaume wasioweza kuzalishi
3. Kuna wanaume wengi wako jela na wengine ni vichaa tunawaoana huko njiani.
4. Kuna wanaume wasiokuwa na...
Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijapata jibu labda Leo unaweza kunisaidia. Hapa Arusha kuna sehemu inaitwa Usa River. Hili jina ni la muda sana kwa sehemu hii alafu mara nyingi nikiangalia majina ya sehemu nyingi unakuta ni ya asili ya sehemu husika lakini kwa nini hii ikawa Usa River je...
Tuelewane kidogo... Ishu sio bei ya tv au ukubwa wa tv yako bali gharama ya tv yako kwenye Maisha yako nikubwa sana kiuchumi kama utapiga Mahesabu vizuri.
Tunanunua kwa gharama sana ili kujiburudisha lakini sio gharama hiyo tuu pia tunatumia muda mwingi kuangalia tv hiyo ambapo muda huo...
Kwa siku za karibuni Tabata imekuwa sehemu ya kula bata sana tofauti na kipindi flani ilijulikana Sinza ndio kuna mambo mengi lakini hivi sasa Tabata ndio inashika namba moja.
Ukianzia 40 40 jirani hapo kuna Smal Planet tembea kidogo unakutana na Kitamaa Cheupe kabla hujakaa sawa unasikia...
Kwa muda mfupi wa mitandaao hi ya kijamii kusumbua wate wengi wamekwama katika shughuli zao nyingi. Mfano mshijai wangu kazini kwako kila kitu ni kwenye group la whatapp la job sasa jioni nii mtandao hakuna ndio kama likizo kwake,, Je kama ikichukua muda mrefu halii hii tutaimudu?
USA River TV. Imetoa nafasi za kazi kwa Presenter wa vipindi na mtunzi kwaajili ya kutangaza.
Sifa.
Awe ni professional (media personality)
Awe tayari kufanyakazi mkoani.
Ajue kutumia kamera pamoja na editing za video
Tuma CV
Maombi yatumwe email: paphjo@yahoo.com
Katika Maisha haya nimewahi kuwa na marafiki wengi ila kwa vipindi tofauti tofauti ila huyu wa sasa sijamuelewa kabisa. Yani mshikaji wangu huyu kila kitu kikitokea yeye Huwaza ni ushirikina.
Basi juzi aliniaga anaenda mahali ila hakuniambia ni wapi jana katika kupiga piga stori mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.