Pesa ya matumizi unayo mpa msichana unategemea ale,avae,nauli daladala maana Ifm Hakuna hstl, anunue Ped, vocha, anunue notes, anunue maji na nk ataish vp hapa mjini?
Serikali ijali wanafunzi
Sina hamu na Bunge la Tanzania maana imekuwa sehemu ya mipasho tu.
Mbona Bunge la Zanzibar haya mambo hakuna?
Ila kwa ninavyoona wanasiasa mnataka mtuzubaishe na ujinga mnaofanya sasa ili bajeti mbovu zipite
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.