Habarini Wajanamvi
Mimi ni mkazi wa Kigamboni kwa muda sasa nina 20 yrs katika wilaya hiyo.
Kuna maswali mengi ambyo nimeshindwa kuyajibu kichwani kwangu. Ninaomba mwenye uelewa au kufikisha hili jambo kwa Waziri wa Ardhi.
Si kawaida ya serikali kuona karibu namna ile kwenye ule mji.. Nahisi...
Habarini wanajamvi..
Wakongwe na wageni japo hakuna atakaye kuitwa mgeni
Ninaomba tupeane uzoefu kwenye hii biashara ambayo watanzania wengi wanaifanya kunadi biashara zao na kuuza kwenye hasa Kule instagram* Facebook nk . ninaimani kubwa sana ulishapitia kununua chochote kile kupitia hasa...
Habari wana jamii wenzangu.
Hii naandika kwa masikitiko makubwa nilikuwa sijagundua hilii. Mnamo tarehe 21/08/2017 nilinunua umeme Bila hizo EWURA & REA sasa kuanzia umeme nilionunua tr 26/08/2017 mpaka leo wamerudisha hizo kodi kinyemela na mpaka leo asubuhi nimenunua umeme wanaendelea kukata...
Habari wanajamvi,
Nimepotea sana ila tupo pamoja.
Naomba mnijuze kuhusu wale kuku wanonoo wakubwaa nawaona mtaani,anaweza kuwa na kg 6 au 7,kubwaa,nikauliza wakasema wanaitwa Amadol.(Hili jina sijui ndio lenyewe?au nimekosea )
1.Nijuzeni ni kuku wa breed gani
2.Nawezaje kuwafuga hawa naona...
Salaam wana jamiii.
Ninakerwa na hii tabia ya mitandao ya simu kukwepa kodi kwa hizi International calls.
Niko tayari kwa ushahidi nitakapohitajika.
Nina mtu anayeishi Bara Asia kila akinipigia simu huwa zinakuwa zinabadilishwa kama local calls za hapa ndani.
Na hii imedumu kwa muda...
Leo asubuhi katika harakati zangu za kwenda kuhakiki jina langu kwaajili yakupiga kuranimejionea maajabu , nikasikitika sana, kweli hii shule iko Kigamboni, wilaya ya Temeke ni shule iliyopo barabarani kabisa, karibu kabisa na serikali ya mtaa. Nimesikitika kwakweli, 12km, je shule zilizopo...
HABARI ZA SIKU NYINGI WANAJUKWAA
HERI YA MWAKA MPYA
Kuna Fremu Nzuri huwa naziona pale kwenye lile jengola YMCA na muda mrefu zimefungwa hivi zinamilikiwa na nani
na hivi unaweza pata zile fremu kweli???
Huwa nazitamani sana zile, wale wahudumu pale ukiwauliza utadhani unafaidi hawakupi jibu...
Sitaki kusema sana ila ngoja nijaribu mitandao mingine.Nakereka maana voda tarrifs ziko juu saana kuliko mitandao mingine,wamekuwa wakiniibia sana hata nikinunua muda wa maongezi wananikata hela kweli jamani au ni mimi tu !!!
Mfano.unamtumia mtu 60,000/=unakatwa 600 haitoshi huyo anayekwenda...
Habari za weekend !!
Huwa nikifikiri sana kuhusu Mashirika ya umma ya serikali huwa naumia sana maana hakuna iliyopo kwa kuujali umma wa watanzania ni kuwasaidia wenye hela watuibie tu sisi wa hali ya chini.
Nirudi nyuma kidogo kabla ya huu ujenzi wa barabara za magari ya kasi tulikuwa na...
Nawasalimu wote mtakaopiga jicho kwenye mada hii.
Huu ni ukweli mchungu sana ,kwa wakazi na wenyeji wa mji huu wa Dar es salaam wanaishi maisha yakubahatisha hawaijui kesho yao ila wanautaka tu ujiko wakuonekana wanaishi mjini,mtu analazimisha maisha, wanapata mshahara nyumba wanayoishi ni...
Leo katika gumzo na wahindi fulani kila mmja alinionyesha kadi ya bank ya ICB nikahoji kwanini wengi wenu mnatumia bank hiyo?
Wakasema ni bank pekee inayoruhusu kuhamishia hela zao huko kwao India.
Mimi sio mtaalamu wa hayo mabenk na fedha na uchumi lakini naona ina hatari au athari labda kwa...
Habari zenu wakuu,
Najua kwamba kazi ya Polisi ni kulinda nchi na raia wake ila naiomba Wizara ya Mambo ya Ndani; Makao Makuu ya Polisi, Dar es Salaam mfuatilie kwa karibu hawa Polisi wa Kigamboni, Kibada wana mtandao mkubwa wa wizi ambao unatutesa sana raia wa eneo hili watu hawalali ni tabu...
Nawasalimu sana wana MMU
Ni siku nyingi kidogo sijapost hapa jukwaani ila ni sababu za kiusalama zaidi
nimekutana na hili suala naninataka ushauri wenu maana mimi sio mshauri mzuri wa masual ya ndoa .ili nipate kumjibu mdogo wangu huyu.
1.Mwanaume umeoa tena ndoa takatifu hapo mwanzo...
Naomba tu muje muniambie ,maana nilishawahi nikuta hili unamuuliza mtu wewe kwnini bado unawasiliana na huyu mwanamke akati ulishasema umeachana naye miaka mingi anakwambia ''mwanamke haachwi anapunguziwa mawasiliano '' hivi kweli enyi wananume wote mna hii ideology au kwamba kama ulikuwa na...
Najua kuna watakao nipinga lakini kuna wahanga kama mimi watakubaliana na mimi na wengine watasema roho mbaya hapa nazungumza kwa uhalisia kabisa maana najihisi nimepigishwa step 100 nyuma kuwa;
((Natumia simu mnisamehe sana))
1.Unaweza kuwa na mafanikio au umejitahidi sana umefika nusu ya...
Kuna ndugu yangu alisoma undergraduate hapo cbe na anahitaji kujiendeleza ana vigezo ila ,hapa tz kuna chuo kimoja tu ambacho kinatoa hii course ni cbe.ila hawa wamekuwa wakila hela za watu kwa 3yrs now wanaitangaza hii course ila hawa inroll watu kila akiaply pgd hapo husema hatujatenga hela...
Nina shida ya mwalimu mzuri wakuwafundisha watoto wangu tuition wa darasa la kwanza na la pili nitamlipa vbizuri tu ,niko maeneo ya kibada-kigamboni .kama nitapata wa maeneo haya haya nitafurahi sana awe anakuja anawafundisha anaondoka,nineshanunua vitabu vyote vya level zao.
Nitashukuru kama...
Rejea mada hii hapa
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/412113-alidhamiria-kunichoma-kisu-kama-sikukwepa-leo-hii-mimi-ni-ningekuwa-marehemu.html
Naendelea kumzungumzia huyu mtu bwana .
Huyu ndugu aliendelea kukaa na mwanamke huyu huyu aliyekuwa mkorofi sana na wakutisha...
Lunar eclipse jamani hiyo angalieni utaona jinsi inavyokuwa sayari inayoonekana imenyookeana kabisa na mwezi ni venus angalia kwa makini utaona kivuli cha dunia kwenye mwezi.
@sosoliso Tumrjaribu kukuonya sana husikii Paloma atakufikisha huku achana naye !!!
na hii inawahusu
Filipo na vivian
Arushaone na Lady doctor
Erickb52 na Chocs
inasermekana mwisho wao ni huhuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.