Hao watu wa mtere wote wana matusi. Lusinde aliacha historia kule Arusha Arumeru. Huyu naye walewale. Matusi ya baharini. Wewe unasema mtera wanamuhitaji. nani ampe hata huko mtera? zile cd za lusinde zimemwagwa mle na hawataki kusikia mtu anayeitwa CCM. sasa mtu kama anatukana hata humu jf...
Mwanafunzi anafaulu darasa la saba kuingia sekondari lakini hajui kusoma wala kuandika. Wizara ya elimu inalichukuliaje hili suala? Tuendelee kuwaamini wasahihishaji mitihani? Baraza la mitihani linahusika hapa pia.
Na bado. Huo ni upepo. wasubiri kimbunga. si wanadai ni upepo?? baada ya upepo ni kimbunga. Na huyo kubwa jinga wasirra anayeday kuwa CDM itasambaratika ataanza kusambaratika yeye kabla ya CDM. c wakati wa kutishana hii anafikiri hilo lijisura lake ni kila mtu analiogopa??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.