Salaam,
Majuzi nilipata fursa fulani ya kwenda nchini Ujerumani kimasomo (Summer Schools), nikaenda Uhamiaji pale Kurasini kushughulikia passport.
Lahaulaaa...
Naambiwa mkulu kasema kigezo cha kupata passport ya kusafiria ni kuwa na kitambulisho cha taifa. Nikashangaa sana.
Nikiangalia...
Habari zenu wana jamvi.
Nimekaa nikawaza sana namna ya utendaji kazi wa hizi wizara zetu za serikali za kiafrika na "KUTAMANI" mambo yangekuwa kama ifuatavyo..
1. Kila wizara apatikane waziri ambae sio wa kuteuliwa. Wasomi mbalimbali waliobobea kwenye masuala nyeti yahusuyo maendeleo ya...
Salaaam wanajamvi.
Kwa wale watumiaji wenzangu wa mtandao wa kijamii wa instagram wengi wenu mtakuwa mmemfollow mwanadada machachari anaeweza kuikosoa serikali bila woga:- Mange Kimambi.
Imefikia mahali sasa watumiaji wa insta wengi niliongea nao wanasema wakilog in wanaingia kusoma posts za...
Huyu jamaa ukiingia youtube yuko number #1 on trending for five days now. Nitashangaa makampuni mbalimbali ya kibiashara na watu wa marketing wasipomtumia huyu mzee kwenye biashara zao. I see an opportunity for both, huyu mzee na kampuni itakayomtumia.
Angalizo tu ni kwamba makampuni hayo...
This is absurd,
Ukienda uhamiaji kufanya mchakato wa kupata passport unaulizwa maswali mengi ambayo ni ya msingi sana lakini hili suala la invitation linakera sana.
Wanalazimisha watu wawadanganye kwa kutafuta marafiki fake ulaya ili wapate invitations. Taifa hili inabidi baadhi ya mambo...
Jamani sikukuu ya Meimosi inaendaje huko kwenu?
Kumbe kuna watu huwa wanapagawa penzini kiasi hiki. Hizi simu ninazopokea kila mara sio za nchi hii. Na nilivyo mvivu basi najinafikisha tu. Anapiga simu kila mara sijui anachofurahia ni nini jamani?
Sasa nimeamini ile nadharia ya kwamba...
Habari zenu wanabodi,
Kwa miaka ya hivi karibuni nimekuwa napenda sana kuwa peke yangu. Iwe kazini, shuleni (nasoma chuo), kwenye sherehe, nyumbani au sehem yoyote ile. Hata nikiwa na mgeni home kwangu natamani aondoke.
Haijalishi nigeni wa kiume au wa kike. All i need is to be alone and make...
Salaam wakuu
Nilipokuwa nasoma degree yangu ya kwanza ya psychology nilisoma elective course moja inaitwa Eneagram. Pale tulisoma sifa mbalimbali za wanadamu (personalities) katika makundi makuu 10.
Kuna kundi moja la perfectionists yaani hawa watu huwa hawapendi kukosolewa, ni wabishi hata...
Wana jamvi salaam
Sio kwa nia mbaya. Ila hawa mabwana ukiwaangalia kwenye mazungumzo, matendo yao na matamshi yao utagundua umwamba mwingi,
majigambo mengi,
Defensive mechanisms kibao,
kujisahau kama nao ni binadamu kama sisi tu,
mamlaka kubwa na kutokupenda challenges/changamoto.
Nyie...
Pichani hapo ni bibi kizee anaitwa Emma Martina Luigia Morano kutoka Italy. Ndio mwanamke mzee kuliko wote duniani kwasasa. Amezaliwa mwaka 1899.
Kwasasa ana umri wa miaka 116. Je ukiambiwa mpige makofi kumi ya nguvu Ili upewe millioni 50 utaweza kuthubutu?
Democrats: HAHAHAHAHAHA
Trump supporters: I don’t understand, he was going to win
GOP: We are so unbelievably fucked
Democrats: HAHAHAHAHAHA
Clinton: *Get’s on phone with Trump* We did it, we actually did it. Donald, we just pulled off the greatest con of all time.
Trump: What suckers, I...
ARVs now for any CD4 count.
People living with HIV (PLWHIV) would from October start anti-retroviral treatment straightaway given any CD4 cell count upon testing, the government has announced.
Source: daily news.
Wednesdays, August 24, 2016
WHATS YOUR COMMENTS?
jana mtoto wa kike wa Dada yangu ana miaka 14 na bado anasoma alikutwa gheto akifanya mapenzi na Kijana mwenye umri wa miaka 17. kesi IPO police. je sheria inasemaje kwa vijana km Hawa walio na umri chini ya miaka 18. hukumu yake huwa inakuwaje. they are young and naughty. Kijana tunamuonea...
Habari wanajukwaa
Ni matumaini yangu mu wazima wa afya. Kwa wanaotetereka kiafya nawaombea uzima. Nimekuwa nikisoma thread nyingi humu zinazosisitiza kuhusu umuhimu wa kujiajiri. Na hii imetokana na ugumu wa soko la ajira lililopo kwasasa. Wadau wengi wamekuwa na guts za kusimama kwenye jukwaa...
Habari wana JF
Nimekaa nimetafakari hili suala nimeona niwashirikishe ili tutafakari kwa pamoja. Ni kuhusu namna hawa waajiri wetu wanavyong'ang'ania mtindo wa kizamani (analojia) katika kufanya recruitment ya watu kwajiri ya kuwaajiri kwenye nafasi mbalimbali kwenye makampuni yao. Kwakweli...
Jana nimejionea mwenyewe hii kasumba ya hawa walinzi wetu wa amani. Baada ya kuibiwa pikipiki juzi usiku, asubuhi ya jana nikaamua kwenda kutoa taarifa/kufungua kesi kituo cha police ili nipate msaada wao kwa mujibu wa sheria. Nimefika pale na kadi yangu ya pikipiki na risiti niliyonunulia...
KWA WALE ANALYTICAL HII ITAWAFAA. UKIISOMA UTAGUNDUA KITU FLANI. JISOMEE MWENYEWE UJIFUNZE KITU KUTOKA KWA MWANADADA MUISLAM ANAEANDAA KITABU KUONGELEA HITAJI LA MABADILIKO KATIKA UISLAMU.
Islam is not a religion of peace: by Ayaan Hirsi Ali
As I revised the introduction to this book, four...
Mtandao wa kimbea na habari za mastar wa marekan na ulaya (hasa wa hip hop) wa TMZ umeendelea kumnanga kijana chris brown na kuchokonoa kila anachokifanya in a very negative way ilimradi tu kumuangusha kimziki. Chris brown amekuwa akilalamka sana Kwenye wall yake ya Instagram.
Baadhi story za...
Tahliso kufanya maandamano ya amani mpaka kwenye ofisi ya waziri mkuu keshokutwa kushinikiza serikali kuwalipa stahili zao wanafunzi wanaofanya fpt kwenye vyuo ambavyo bado havijapata pesa hiyo.
Source; taarifa ya habari ya channel ten ya saa moja leo tarehe 13 august (sasaivi)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.