Habari wana jamii forum, ni matumaini yangu mambo yanenda sawia.
" Kwa taratibu ambazo zilikuwepo awali ni kwamba mtumishi wa serikali akijiendeleza kimasomo katika taaluma anayoifanyia kazi anaporudi kwa muajiri wake humpandisha ngazi ya utumishi ambapo mtumishi anahitajika kuonesha vyeti...
Hallo habarini, mimi ni Mwalimu wa Masomo ya Mathematics/Physics/Computer Studies nimehitimu diploma in education 2008 nimefundisha miaka miwili shule ya serikali, HIVI SASA NIPO UNIVERSITY OF DAR RES SALAAM mwaka wa tatu namaliza JUNE/2012 Mwaka huu, kwa anayefahamu shule zinazohitaji mwalimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.