We mzee acha kabisa, usijiingize kwenye majuto endelevu.
1. Aliweza kukusaliti, akapata na mimba; hili huwa ni endelevu na yawezekana kuwa ni tabia
2. Mwanamke akishakuwa na mtoto kunakuwa na bond kati yao; na hii yawezekana ikwa hadi kwa jamaa mwenye mtoto; hili litakuja waletea shida mbeleni...
Pole sana ndugu;
Wewe si wakwanza kwenye suala hili; naamini tuko wengi, nikiwamo mimi.
Mimi ilinitokea (japokuwa kwa kiasi na mimi nilichangia baada ya kugawagawa huko nje, na yeye kujua).
Mimi nilipogundua hilo na yeye kutaka kuonesha mapembe nilishusha kipondo cha hali ya juu kwake...
Ni kweli kabisa, ila nadhani ni lazima pia hiyo availability ya spare ya IST ufahamu na UBORA wake, nenda pale KISANGANI ulizia fuel pump original ya IST; nikimaanisha kama hiyo iliyokuja na Gari toka ulipoiagizia; bei zinafanana kabisa.
Mfano mrahisi nanunua oil filter kwa 30,000/=, naweka...
Kwa ushauri wangu usichukue VW Golf, Chukua VW Polo 2007 Model au juu; Utaifurahia na kufurahia maisha ya kuingia Petrol Station.
Angalizo, spares za VW bei ni juu kidogo so unaweza tishika, ila spares zake ni original so zinakaa muda mrefu. Kila la heri kwenye uchaguzi.
Habari,
Hizi ni Herbal, ambazo zinauwezo mkubwa wa kuongeza nguvu za Kiume na pia kusaidia wanaume ambao hawawezi kutungisha Mimba. Zinaitwa Oceaplus Capsule na Golden Oyster, nimewawekea maelezo yahusuyo kila dawa.
1. Oceaplus Capsule
Function:
1. Improving kidney functions and body...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.