Kwetu home Kata ya Kikatiti,- Kijiji cha Kikatiti Na Kijiji cha Nasholi CDM IMECHUKUA uenyekiti na kushinda vitongoji vyote. What a happy move. Mungu bariki UKAWA Mungu bariki Tanzania. Na bado.
Hongera sana King'ast na wengine mliomwezesha kijana. lmenikumbusha familia moja iliyowahi kunifadhili A level sitakaa niwasahau na leo mimi ni Lecturer I always pray for them najua siwezi kuwalipa. Wapendwa mmepanda mbegu na hakika amsaidiaye mhitaji anamkopesha Mungu. mtalipwa.
Kweli, akili ni mali. Eeh mungu wa mbingu na nchi tupe ufahamu,. Hawa wote ni wagonjwa, mbaya zaidi hawaujui ugonjwa wao. I thought they would lead the way, this is disgusting.
Biblia inasema katika kitabu cha mithali,................. Mdomo wa -------- hunena bila hekima, bali hata mtu mjinga akikaa kimya huonekana kuwa na hekima.
Mmmh inasikitisha kuona yanayotokea. zitto ulikuwa moyoni mwa wengi wenye upeo, lakini kwa hili tunapata mawali mengi kuliko majibu. Nafikiri tusubiri maamuzi ya mahakam, lakini kwa upande wangu kwasasa natamani, uondoke tu chadema kama kufa na ife, kama kupona na ipone. Naamini haitakuwa mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.