Umesema hapo juu huonagi umuhimu wa mtu kusoma PCM advance sasa vyuo vyenye kozi za Engineering, Electronics, masomo kama ya science watapataje wanafunzi na je taifa litatoa wapi hao wataalamu wa hizo nyanja, taita linahitaji kila mtaalamu kwahiyo lazima kuna wanaotakiwa wasome PCM pia kama...
Acha dharau kijana hiyo combination ni nzuri sana sema tu labda hesabu imekuletea noma ndio maana unaiogopa, comnibation ni nzuri ial inahitaji self discipline otherwise wanakula kichwa
mkuu hivyo havina shida issue ni sitaki long distance ilishanitesa sana, umri sio issue sana kwani tunaelekea mbele sio nyuma, elimu sio issue iwe kawaida tu hata diploma kwenda juu kwani kwenye ndoa hatufanyi mitihani upendo ndio issue kubwa na hata mtu hajasoma anaweza kumpenda na kumjali mtu
Natafuta mwenzangu wa kuwa nae ila awe hapa UK niko mpweke sana na napenda rangi kama mimi sio mzungu. Alieko karibu anitumie kijiujumbe tuweze kuwasiliana na kusogeza maisha mbele.
Elimu yangu ni PhD na kazi zangu nyingi ni za utafiti hasa wa dawa za magonjwa ya kifua.
Nasumbuliwa sana na virus hususani unapofungua any web zinapop up other windows na matangazo kibao mara vigames vya ajabu ajabu,nililipia Avast lakini naona hamna kitu kabisa haizuii chochote, naomba kujuzwa kwa anaejua ni Antivirus ipi nzuri hasa kwa mtumiaji wa internet kwenye computer yake...
Wanajamvi habari ya mihangaiko ya maisha,
Nilikua nauliza wapi nitapata soko la mihogo? Mimi niko Mkuranga ila naogopa walanguzi, ninazo heka 2 mihogo safi kabisa hata hapa ndio napata wa mchana na maziwa ya mgando.
Natafuta mchumba awe mwafrica mwenzangu na awe anaishi UK ili tuweze kuonana maana sitaweza long distance, alieko tayari tuwasiliane tuone tutafika wapi, mimi ni maji ya kunde, mrefu wa wastani, mwenye kipato cha wastani kutunza mke na maendeleo kidogo. Elimu sichagui ila asizidi 30 years maana...
Mkuu nimeamua kutumia option ya kulaza matofali kwani sina mpango kubadili ramani na nimeona kwa mchoro wangu huenda ikawa ndio best option, uko sahihi kama ukitumia nguzo unaweza kumimina slab ya first floor bila kumaliza ground floor kwani kwa njia ya nguzo kila floor inajitegemea(kwa uelewa...
Nashukuru wote kwa ushauri ujenzi unaendelea vizuri. Ndio nafanya maandalizi ya kumimina slab ya first floor,watu wasiogope wajaribu gharama zipo lkn sio za kuogopesha sana,kwa nyumba ya square meter 180 msingi uandae 20,matofali pia ukiweza tumia ratio ya 25/ mfuko
Naangalia option kujaribu kujenga kighorofa kimoja japo nilale juu, fundi ameniambia nichague kati ya option mbili
kulaza matofali
kutumia nguzo
Namaanisha kama nikilaza matofali floor slab ya juu itakua supported na hayo matofali bila nguzo. Kama nikiopt nguzo nitasimamisha matofali kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.