Hii picha kaweke mweyewe au mwana JF kaweka,mambo mengine siyo wakubwa. kichefu chefu tu hapa. Vizuri vinafichwa wakubwa,wacha atangza biashara maana hana jipya huyo
Ni ujasiri tu ndy umekufanya uandike hapa hy maada maana wengi tupo kama ww japo kusema ngumu. Kama anaolewa shukuru,maana anakupunguzia matatizo.Mche Mola,mpende mkeo na ufanye maisha booora. Jenga familia mkuu,hawa wadada wapo
Mmmmmmmhhhhhh!!!! Unakumbusha mbaaaali saaanaaaa,ila sina hakika kama nawe yatakuwa kama yangu That's my experience,na hakika inataka moyo tena ujikaze vilivyo. Wala siyo hadithi,hao wadada wapo japo wengine zuga hamna lolote wala nini,mi nilivumilia kwa four Years+,after that nikapewa and it...
Ma-Hr Siyo wajinga mkuu,ndy vile tena upenyo mdogo na watu kibao wanataka kazi. Imagine mtu mwingine ananvyo kama ww,except hiyo D yako yeye ana A bado unataka wakupe ww tu kazi? Kuwa na aibu,utakula ulicho panda ww omba mungu tu. Usimlaumu Dobi wkt rangi ya kaniki unaijua mkuu Look for another...
Bila ya vitisho au maombi ya kutoka wana-ccm nguli,kabla ya jumapili saini 70 zitapatikana na mkuu atang'olewa faster. Mbwa kala mbwa,mwisho wa ubaya aibu bana. Wao kwa wao wanageukana,subiri tu watasema yoooooote hadi kieleweke. Zitto komaaa,kitaeleweka tu makamanda
Just do your part,God will do the rest kwa kweli. Love takes time mkuu,anaweza akawa anadharau mbaya lakini mungu ndiye kapanga yote yawe hvy na mwisho wa siku ndy mkeo tena. Kwahy ww msaidie na utimize kazi zako mengine muachie mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.