Kwanza je? Simu yako ina kamata 3g(umits) nokia asha karibia zote hazina na pia samsung karibia nyinge hazina nenda kwenye network setting limit umits ukiona mnara upo jiunge ufaidi. Hatakwa modem! Unapata 2gb za kusaf na 150mb za kudownload kila siku @ 2800@wk! Unapata 50gb za kusuf na 600mb...
Nacho fahamu nchi yetu haiendeshwi na raisi kuna madereva wanamrimonti kama katv. Na kuingia ikulu chadema sio leo kazi moja kuvunja chain iliyounda na ccm na wageni wakila siku na wazzee wetu sio leo ikulu ccm kuachia..
mkuu hii ya tigo haikufai 3g sema ya 3.5g inafika 2.5mbps haikai sana @2800 @wk ila ipo limited kuwa kila siku inapewa 150 mb za kudownlolad na 2gb zakusafu every dy wk=150*7~1gb za kudowload tu na 2gb*7=14gb za kusaf at wk @2800.
mi natumia 8500@mwezi na pata 600mb za kudownload 50gb za kusaf...
It's not a bad start but always magic of arsenal is the only team which breakdown the unbeaten dead lock of unfield. liverpool manager RB he could remain only if he will collect 6 points from sunderland and mancherster, any drawn he will be swap away. Nightmare have rule RB head....! Sahin and...
Ligi kuu bara kazi ipo kweli kweli! Simba na yanga wote wasipo shika nafasi 2 za juu nitajua kweli mpira wa bongo utakuwa umeongezeka kwa 15% cha kiwango
Usiangalia ukubwa wa chuo wakati bichwa kimejaa maji na hapo sio ticket ya maisha bora jifurahishe moyo na baadaye uje kumkukata ugumu wa maisha upambane nae, ndio ujue hana rafiki na weye sifa kama zako!
Mega box tigo ilimradi uwe na 3g devices 8500@month unapata 50gb za kusafu 600mb za kudownload kila siku. Kama unatumia 2g na edge na samsung za kawaida ni msiba usijiunge kabisa
Niliwauliza tigo wakasema 3g yao inapatikana dar sehemu zote, mikoani ni kwenye mji tu so hapa voda itakuwa hivyo wa vijiji hata zantel kwa speed ya edge wako poa sana!
nokia X2 ni 2g network, bado sijawaelewa nokia hawatujali kabisa hizi double line zao karibia zote ni 2g na hamna zenye document viewer zote s40 hapa ndio wananiua kabisa...
sijajua tigo wana beef gan na samsung au kwa sababu edge, line yangu nikiweka kwenye nokia yangu yenye 3g iko speed ila niijaribu kwenye samsung kama 2 speed unachoka mwenyewe "TIGO INTERNET INATEGEMEA NA SIMU/DEVICE YAKO"
Naomba wenye samsung wanao faidi intanet ya tigo na unipe model yake...
Liverpool 3-2 man city
man united 2-1 fulham
stoke 0-1 arsenal
chelsea 2-2 newcastle
watakao onekana kwenye score sheet
borini, suarez, van perse, carzola, torres, lampard, tevez/dzeko, cisse, dempsey.. ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.