Mwongozo unasema walimu wakuu waanzie diploma kwenda degree Sasa wakiwepo wengi ndio tuanaangalia nani ana uwezo kuwazidi wengine,Hali kadhalika ma weo nao mwongozo ni huo huo
Pointi yako ya uzoefu ni sawa Ila Sasa ungekuwepo katani ungejionea mwenyewe uwezo wao ni hafifu wale walio hamishwa...
Habari Wana jamvi,
Huku kwetu kumekuwa na ka staili ka KUPANDISHANA VYEO KIJANJA, kwenye kata yetu tulikuwa na weo mwenye Degree na kazi alikuwa anachapa ipasavyo akahamishwa kapelekwa kata jirani ya ulemo na kyengege akaletwa veo mwenye certificate kutoka Kijiji Cha kidaru kuja kuwa kaimu weo...
Kumbuka hili daraja ndio lilimuondoa mwenda zake wizara ya ujenzi enzi ya jk akapelekwa kuhesabu samaki na katibu wake akapigwa ubalozi maana wao walipinga gharama kubwa za ujenzi baada ya kutolewa ujenzi ukaanza
Ku ukweli huyo jamaa nyimbo zake huwezi zitazama ukiwa na wazazi wako,ninapenda muziki ila sio wa huyu mtoto ata akipiga pesa vipi sishawishiki kununua mziki wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.