Halafu wapinzani wakisema watu wanasema tunamkwamisha Dikteta.....Lissu...... Makosa ya namna hii ipo siku tutapelekwa vitani kwa ' makosa '
Naamini bado wengine watapata uteuzi humu ndani maana kuna makosa ambayo yatafanya nafasi ziwe wazi.
1. *Dk Leonard Masule* huyu aliteuliwa kuwa *DC...
Najiuliza bila majibu nini malengo ya hiki chama kama ni chama cha upinzani kwanini kisishushe bendera ya CCM badala yake kinashusha bendera ya Chadema
Hii jamaa umegeneralize sana wengine hadi leo tupo nao kwenye ndoa toka alivyotolewa usichana inategemea na commitment zako hata ka ukienda shule au wapi ukiwa umeweka ahadi u will keep it
Hata nashindwa hata kucomments its real pain kama unapewa 1.8m per month unasema hazitoshi mshahara wa Manager bongo na anasave pia na kuinvest kaka u need to investigate and see where ur money going utakuja kujuta huko mbele ya safari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.