Hilo ni moja ya matatizo ya takwimu aka statistics. Unachokiona hapo ni tofauti kati ya mabilionea kama Mo na yule fukara asiye na mbele waka nyuma halafu unachekelea kama zuzu.
Paskali huuma na kupuliza. Kamsifia sana jamaa huyu katika mada zake nyingi humu jamvini hata kufikia hatua kwamba anafaa kuwa Mkuu wa Nchi. Fikiria sasa ni Boss wa Mkoa tu. Je akipewa zaidi ya hapo mambo yatakuwaje?
Hapo namba 4 umewagusa wataalam ambao hutumia hizo title zao kutukoga. Lakini pia kuna Wanasiasa ambao wao hutaka na kukazimisha waitwe "waheshimiwa". Wapo wengine ukimuita jina lake pasipo kuweka hiyo title wala hawaitikii. Kibaya sasa wanataka hata wenzi wao waitwe kwa kutumia hilo neno...
Yaelekea wote ni mafisadi. Kodi ni million 200. Makubaliano alipe million 24 Ila atapewa demand note na risiti halali ya milioni tatu. Mchezo upo hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.