Hili suala la kuchangisha walimu mchango wa mwenge limekuwa endelevu Kwa sababu Kila mwaka walimu wanakuwa wakichangia Kwa kulazimisha.
Mbaya zaidi Kila mwaka fedha inakuwa ikiongezeka mfanonkutoka sh. 2000 kwenda sh. 5000. Hapa walimu wanatakiwa kujua nini Kilichosababisha ongezeko hilo.
Hii...
Hebu tujadiliane kidogo, kwani kuna allocations ambayo imefanyika kwa kupeleka wanafunzi sehemu ambayo ilikuwa haijaandaliwa kwa ajili ya kupokea wanafunzi wa kidato cha tano. Wanafunzi hao wamepangwa katika shule ya sekondari ya Dr Nchimbi.
Mpaka sasa wizara haijatoa tamko la hao wanafunzi...
leo nimekutana na mmasai mmoja akawambia vijana walioko ccm ana ugonjwa wa fistula tunaomba kujadili hilo. pili kasema eti mbona ccm hawatoi viatu. kwanini wanatoa kofia na t-shirt tu.
Kunakoelekea mgomo wa madaktari katika hospital ya DHH Bunda. Hapa wagonjwa hawana la kufanya wamekaa kwenye mabechi tu. Madaktari wako kwenye ukumbi wa mkutano wanaimba mshikamano daima.
Kiini cha mgomo kinaelezwa kuwa ni madai ambayo wanadai likiwemo la mwito wa dharura.
Chanzo mimi...
Nimeshangaa sana leo baada ya wageni kutoka TAMISEMI kufika katika shule ya sekondari BUNDA, kilichotokea ni mkuu wa shule kulazimisha mlizi kukata umeme ili wageni hao wasifanye kazi yao iliyowalete. hao ndo wakuu wa shule tulionao kama wanaweza kuzima umeme ili hawa wageni kutoka tamisemi...
kwa wale wanachuo waliomaliza mwaka masomo 2011/2012 waliokuwa BED SCIENCE walikuwa wanadaiwa 1000000 kwa sababu HESLB ilileta hela pungufu. sasa cha ajabu ni kuwa wahasibu wa college ya education wanakulazimisha kuwapa hiyo pesa kati ya 800000 au 900000 huu ni wizi mkubwa udom.
MEMBER OF PARLIAMENT CV
GENERAL
Salutation
Honourable
Member picture
First Name:
Kassim
Middle Name:
Majaliwa
Last Name:
Majaliwa
Member Type:
Constituency Member
Constituent:
Ruangwa
Political Party:
CCM
Office Location:
P.O. Box 980, Dodoma
Office Phone:
+255 785 205...
kwani leo katika kipindi cha maswali na majibu kuna mbunge aliomba mwongozo kuhusu mafisadi wa elimu kilichoandikwa na Kainerugaba.kama kuna mtu ana copy ya hiyo kitabu tunaomba utuwekee ili kuweza kuwajua hao mafisidi wa elimu hapa nchini.
ufisadi ninaouzungumzia ni kwa kumpa zawadi mkuu wa shule ya sekondri ya bunda ya kuwa mfanyakazi bora wakati matokeo ya mtihani kidato cha nne kuna ziro 133 na hakuna hata division one. je ufanyakazi bora unatoka wapi?.
kama mkuu wa shule aliyepo ataendelea kuwa mkuu wa shule inawezekana kukakosekana hata division two kwani yeye hana muda na kushughulikia taaluma ila mambo yake ya kuchukua pesa za shule na kufanyia mambo yake binafisi. nawaomba wadau wa elimu katika jamii forum wanaotokea bunda ni hali ya...
jkt walioletwa bunda kwa ajili ya uchaguzi wa kata ya nyasura sasa wanasotea posho waliokuwa wanatakiwa kupewa mpaka sasa wanapigwa danadana na mkuu wa wilaya. mmoja wa askari hao anasema kitendo hicho siyo cha kiungwana kwani akzi waliyoletwa kufanya imekwisha, na jana walikuwa wameitwa kwa...
huwezi kuamini ninachokiona katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya nyasura, kwani katibu tarafa kwa kushirikiana na yule jamaa aliyeharibu uchaguzi katika kata ya manchira wameleta askari wa jkt wapo 30 na wamefikia katika shule ya sekondari ya bunda. sasa wanafunzi wa shule wamekuwa wa...
mkuu wa wilaya ya bunda joshua mirumbe amemdhalilisha mwalimu wa shule ya msingi kung'ombe kwa kumpinga ngumi akiwa ndani ya ofisi ya mkuu wa wilaya.kisa kilichosababisha mkuu wa wilaya kumpinga mwalimu huyo ngumi ni mwalimu huyo kuwa upande wa upinzani badala ya kuwa ccm.je ni haki mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.