Jamani habari zenu humu ndani,
Nilikuwa naomba kujua kama mtu aliyemaliza Diploma ya Clinical Medicine na akapata GPA ya 3.5 matokeo ya mwisho akitaka kujiunga na degree ya MD inawezekana.
Je ni matokeo yapi yatatumika maana mimi nasikia ni cumulative GPA kuanzia ya first year.
Naomba msaada...
Jamani nilikua naombeni ushauri kama una div 3 ya 17 yaani umepata bios C phy F chem F na S ya bam na g.s je unaweza kusomea diploma ya clinical officer au ualimu? naombeni msaada wa mawazo please
Leo katika maadhimisho ya miaka 48 imedhihirisha mapungufu makubwa ya utawala wa JK. nasema hivi kwa sababu mimi mwenyewe nimeshuhudia jinsi siku hii imekuwa ni ya gwaride,maonyesho ya halaiki na ngoma za asili hii inaonesha udhaifu wa serikali kwani wameshindwa kutoa hata hotuba ya kuelezea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.