Leo Tanzania nzima stori ilikuwa ni moja ya kuhusiana na ushindi wa Cdm huko Arumeru. Ktk blog nilizo pita nimeona watu ni kupongezana tu hasa wakiwasifu wananchi wa arumeru kwa kuthububu. hata mtaani stori ni hiyo hiyo kwani hata wewe msomaji na Nape ni mashahidi. Ninacho amimi ushindi wa cdm...
Nadhani wengi mtaniunga mkono kuwa kama kuna viongozi walio fanya mambo mazuri ktk nchi hi Mh Joseph MUNGAI ni mmoja wapo. Alijenga shule zaidi 20 binafsi then akaipa selikari ikiwepo Mdabulo na Igowole, alipokuwa waziri wa mambo ya ndani aliweza kujenga kota za askari magereza Iringa ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.