Golfer2008
Member
- Mar 22, 2012
- 28
- 4
Leo Tanzania nzima stori ilikuwa ni moja ya kuhusiana na ushindi wa Cdm huko Arumeru. Ktk blog nilizo pita nimeona watu ni kupongezana tu hasa wakiwasifu wananchi wa arumeru kwa kuthububu. hata mtaani stori ni hiyo hiyo kwani hata wewe msomaji na Nape ni mashahidi. Ninacho amimi ushindi wa cdm umewahamisha magamba wengi sana kujiunga na cdm kwani kuna wazee kama sita wameninzihilishia. Tena mmoja akasema "Mwanangu kwa jinsi tunavyo tendewa na srikari leo hata ukipambanisha Kivuri na CCM kama zamani, nitachagua kivuri