Matumizi ya Bajeti ya Maendeleo
"Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mwaka wa 2016/2017, Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ilitengewa jumla ya Shilingi 100,527,497,000 kupitia Fungu 43 kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Aidha, Wizara ilipokea fedha kwa ajili ya kulipia madeniya wakandarasi...
Wana wa jamii kuna taarifa ya kwamba jana Nape aliingia Bungeni kama hero, kwani alishangiliwa na wabunge wote hata kumlazimu mwenyekiti kuwataka hayo mahaba wayafanye bila kelele, mwenye video aturushie
Wakuu na wataalam wa udhibiti na ukaguzi wa hesabu za fedha nina mashaka na fedha zinavyotumika nje na bajeti iliyopitishwa na bunge, sina uhakika kama Mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za serikali kama ataweza kuainisha namna zilivyotumika zaidi ya kusema hazijulikani zilipo, Naona mkuu...
Nursery Teachers from Kenya/ Uganda are required to fill Two vacant posts available in Kilimanjaro Region at Masama Ng'uni- Marukeni where the school is, the school is ready to cover the working permit for those who qualify,
Contact through Mob 0715393977
Wanatafutwa Waalimu wa Chekechea kutoka Kenya/Uganda, Shule yenyewe ni English Medium na ipo mkoani Masama Ng'uni - Marukeni Kilimanjaro,
Kwa mawasiliano Piga Simu namba 0715393977
Inavyoonekana hakuna dalili za kushuka kwa deni la taifa ambalo sasa hivi limefika trilion 28, ziko wapi juhudi za makusudi za kutumia raslimali tulizonazo kupunguza/kulipa hilo deni? hamna, Ewe mwanasisiem una mapenzi mema na nchi hii, kwa sababu inavyoonekana CCM imekuwa kama mpangaji ambaye...
Mitaro yote iliyoko Dar es Salaam imekuwa ndiyo sehemu kuu ya kutupa takataka, na imekuwa source kubwa ya maradhi ya tumbo.kama hamna taka ngumu, kuna maji machafu ambaya hayatembei hivyo kuwa source kubwa ya mazalio ya Mbu aina yote.
Mimi naona hata strabag hawajakosea kujenga barabara bila...
Jamani wadau wa JF mimi nimechoshwa na vitendo vya polisi wa usalama barabarani wakitembea na vitabu vya risiti huku wakipokea hela na kutoa risiti ambazo nina uhakika nyingi ni fake, hivyo kufanya mapato ambayo yanatakiwa yaende serikalini yaishie kwenye mifuko yao.
Mimi nashauri serikali...
Baba wa taifa amefanya mambo mengi mazuri sana,hilo kila mtu analijuwa, lakini kama binadamu kuna mambo aliyakosea mazuri na mabaya kihistoria ni lazima yaandikwe kwa ajili ya kujifunza,
Baba wa Imani Ibrahim ni mtakatifu ambaye ameandikwa kwenye vitabu vyote vitakatifu, lakini pamoja na mazuri...
Crimea imejitoa Ukrane ikajiunga na Urusi nchi kubwa, bado kuna kipande cha Ukrane Mashariki nacho kinataka kiende Urusi. kwanini tunakuwa inferior kwa Zanzibar? Tanzania tunatumia nguvu kubwa sana kuihold Zanzibar,tunahitaji serikali tatu ili tuweze kubalance utashi wa Muungano.
Hakuna muafaka...
wapo wazazi wanaona sifa kumpeleka mtoto wao mdogo kwenda kulelewa kwa muda huku wakijuwa bibi au babu yake na huyo mtoto ameethirika.
Siyo sawa tuwe makini.
Ulimboka ni mwenyekiti halali wa jumuiya ya madaktari Tanzania, anaongoza wajiriwa wa serikali na wasioajiriwa, kwa hiyo sioni sababu ya yeye kupewa kichapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.