Gazeti la Rai mmeliwona lilivyotoka sitori iliyokwenda shule, mpambano kati ya edo na jk
halina mpango kabisa wanawafagilia hao boyz 2 men na wamemponda sita sana
Unaongelea hicho kijarida, ambacho kina udugu wa damu na TBC na gazeti la Uhuru?! Kama sikosei kuna mtu mmoja aliwahi kunitonya kuwa, hao wana udugu mzito, kwa kuwa wamezaliwa na baba na mama mmoja!!Gazeti la Rai mmeliwona lilivyotoka sitori iliyokwenda shule, mpambano kati ya edo na jk
halina mpango kabisa wanawafagilia hao boyz 2 men na wamemponda sita sana
Gazeti la Rai mmeliwona lilivyotoka sitori iliyokwenda shule, mpambano kati ya edo na jk