Search results

  1. M

    Sababu gani zitakufanya usipige Kura zoezi la Uchaguzi litakapofika?

    Bila Tume huru ya Uchaguzi hakuna sababu ya kwenda kupiga kura kwani kura sio inayoamua ni maigizo na kupoteza hela tuu.
  2. M

    Prof. Mkumbo: Katiba iliyopo sasa sio ya Demokrasia ya Vyama Vingi

    Umenena vyema sana Prof. Mkumbo. Japo sasa haupo mezani unaweza kuongea.
  3. M

    Masikini, wavivu na watu wenye roho mbaya walikuwa wakifurahia hatua za Magufuli kuturudisha kwenye UJAMAA

    Kuanzia Nyerere mpaka sasa ni unyonyaji na ufukarishaji. Vyama vya Ushirika vimekufa, majirani zetu kenya wamejifunza kwetu ushirika, sasa hivi vyama vya ushirika ke vina nguvu kubwa sana kiuchumi. Nyerere angeacha vikastawi tz tungekuwa wapi?
  4. M

    Waziri Mkuu Majaliwa: Atakeyeonea waandishi wa habari kukiona

    Hata haya anayofanya SHS Hakuyafanya kipindi cha Mwendazake kwani isingewezekana. Ni sawa kwa Waziri mkuu kusimamia msimamo wa bosi aliyepo madarakani.
  5. M

    Waafrika hadi sasa tunashindwa nini ku-document dini zetu kama waarabu, wahindu, wajapan, Wachina, wayahudi?

    Ipo JADI YETU inayojumuisha dini zote au taratibu zote za kale za kuabudu. Fatilia Youtube Jadi Yetu au seach Telegram utapata mafunzo yote na kitabu kipo tayari kinachojumuisha vizazi vyote na si Afrika tuu na ukweli upo hapo.
  6. M

    Kikwete: Sitarajii Urais kutenganishwa na Uenyekiti wa Chama

    Uko sahihi Kabisa kutenganisha vyeo kutasaidia uwajibikaji kwani chama kilichomuweka Raidi madarakani kitakuwa kinaweza kumuhoji pia kumtoa pale anapokiuka maelekezo ya Chama au Katiba ya Nchi kama alivyofanya Mwendazake.
  7. M

    Kikwete: Sitarajii Urais kutenganishwa na Uenyekiti wa Chama

    Chama kinakosa uwezo wa kuihoji Serikali kwani. Ukitenganisha Chama na Serikali Chama kitakuwa na nguvu ya juu ya Serikali. Lakini hili linahitaji Serikali kama ya China ambayo hakuna vyama vingi.
  8. M

    Walinzi wa Mbowe wadaiwa kutekwa

    Hujaelewa ulichosoma rudia tena.
  9. M

    Uchaguzi 2020 Majaliwa: Tusimchague mtu kwakuwa amepanda jukwaani kwa mbwembwe, lazima tupate Kiongozi atakayeweza kutuunganisha Watanzania wote

    Ni kweli na kiongozi huyo ni Liss3kwa Magufuli snatenganisha na kubagus watanzania kwa rangi zao, ukabila na ubaguzi wa vyama. Pia ubaguzi wa wapi maendeleo yapelekwe hata kama wananchi wa eneo hilo wanalipa kodi. Ni kipindi cha kuchagua Tano Kwanza kwa Uhuru, Haki na maendeleo ya Watu na sio...
  10. M

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kampeni ya Dkt. Magufuli kuwania Urais 2020-2025 mikoani Iringa na Njombe (Sept 29, 2020)

    Hovyooo kabisa, kwa taarifa yako muda huu anatokea Rombo anakuja Moshi baada ya kufanya mikutano Hai, Sanya Juu, Kamwanga, Tarakea, Mkuu, Himo. MATAGA mjipange kudanganya wasiojua.
  11. M

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kampeni ya Dkt. Magufuli kuwania Urais 2020-2025 mikoani Iringa na Njombe (Sept 29, 2020)

    Ukishajenga uwanja unamsaidiaje mkulima asiyepanda ndege au mmachinga azungushaye bidhaa mtaani au Mama ntilie huku mtaani. Wezesha wananchi wapate hela kisha kusanya kodi ujenge miundombinu yako. Unajenga hospital kwani watanzania wote ni wagonjwa?
  12. M

    Salamo Arouch, bondia aliyeponyeka kwenye kambi za Nazi kwa kushinda mapambano 200

    Kwa Lugha rahisi alisababisha vifo vya wenzake 200 au alishiriki mauaji ya wenzake 200 ili yeye mmoja apone badala ya kushirikiana kuwaua askari wote waliokua wanawalinda.
  13. M

    Waliosoma Makongo High School karibuni

    Wewe Mchochezi ni yule wa twitter? Napenda pia kujua miongoni mwetu nani alimaliza mwaka 1995 ambao ndio mwaka wangu.
  14. M

    Hivi mwani ni zao gani?

    Picha yaonyesha umuhimu wa mwani ambayo kwa lugha ya majahazi inaitwa seamos.
  15. M

    Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Katani Katani ajiuzulu na kujiunga CCM

    Swali zuri sana. Wanapokwama ni kufikiri kuwahamisha wapinzani walioshinda maeneo yao kutawapa hakika ya kushinda uchaguzi ujao. Iwapo ccm inakubalika kwa asilimia 80 waweke tume huru ya uchaguzi na uwanja huru wa mapambano kisha tusubiri matokeo huru.
  16. M

    Samsung yatengeneza binadamu wasio halisi wenye uwezo wa kufanya kazi kama binadamu wa kawaida

    Kuumwa si sehemu ya maisha halisi ya watu maana watu tunaweza kuishi bila kuumwa tukifuata utaratibu wa asili wa jinsi ya kula. Majibu kwa maswali mengine ni kutumia akili tuu.
  17. M

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Kutembelea Nane Nane Arusha Kesho

    Inteligensia kuwa Mh. Lowassa atakuwapo wazuie maonyesho nane nane kesho. Achana na kitu uoga
  18. M

    Umri wa dunia ni upi hasa?

    jinsi ya mtiririko wa uumbaji wa biblia na hali halisi haviendani kabisa. ipo contradicted kwa wasiokuwa na mawazo chanya na tafitivu. biblia ni kitabu kilichoundwa maalumu kumfunika mtu asitambue ukweli uliopo. wakati maisha na elimu ya sayansi inaonyesha wazi kuwa huo uumbaji wa biblia ni vitu...
  19. M

    Ni kweli Mungu hana Upendo? Au sisi tu ndio hatumuelewi!?

    Kiwango kikubwa kabisa cha ujinga wa Imani kwa aishie kwa Imani. Kwangu Imani ni upungufu wa Maarifa. 1÷1 =2 kwa nini niseme nina imani ni 2? Kitabu kimeandikwa na binadamu na binadamu ndiye kaandika upendo na Mungu hivyo binadamu kwa vyovyote vile ndiye kamuumba Mungu kisha kutujengea imani ili...
  20. M

    Huyu ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA aliyekuwa apinduliwe kwa kuwa too local

    Ukitaka kujua kuna baadhi ya watu hawajui maana ya mageuzi na kushinda uchaguzi. Huwezi sema uwanjani hakuna tembo ilhali hawezi jificha. Lowassa ni tembo uwanjani ambaye amemwona ni Mbowe. Kuunganisha nguvu ni jambo la heri kwenye uchaguzi. Lowassa ana watu tayari na walioneķana kipindi...
Back
Top Bottom