Hello, kwa wale wanaohitaji Rozela (maua ya choya) kiasi chochote kile nafanya delivery. Mimi napatikana mkoa wa Dodoma mahali ambapo rozela inalimwa kwa wingi, ikiwa unahitaji na uko mkoani nitakutumia kwa uaminifu.
Au kama una ndugu, jamaa au rafiki yako anayeishi Dodoma unaweza kumtumia yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.