Wakuu heri ya sikukuu ya Noeli,nlikua naulizia bei ya tifali za interlocking kwa sq meter ni kiasi gani?pia ukilinganisha na hizi tofali za kawaida kuna unafuu kwa kiasi gani??nipo dar wakuu.
Wakuu heshima zenu!
Nilikua naangalia magari kwenye mitandao mbalimbali Japan ila kilichonistua ni tofauti kubwa ya bei kati ya mtandao na mtandao.
Kuna mitandao mingi ya dealers ambayo watanzania wengi tumekua tunaangizia magari kwenye hiyo mitandao michache kati ya hiyo mitandao ni kama...
Wakuu poleni na kazi,mwenzenu nina shida,kagari kangu geji inazingua,inaonyesha full tank wakat hakuna kitu,nimejaribu kuibadilisha bila mafanikio,pia cha kushangaza abiria akikaa kwenye kiti cha mbele geji inapanda,sijui ni tatizo gani,nimeonana na fundi waya,ameishia kuumia kichwa tuu,wala...
Wakuu heshima zenu!nimefungua ki hardware kangu huku dar!sasa nilikua nahitaji mbao hizi ambazo hazina dawa kwa kuanzia!kama kuna yeyote ambaye anaifanya hii business hebu atangaze biashara yake hapa!naweza nikawa mteja wake!Size ya hizo mbao ni 1x10,1x8,1x6,2x4,2x6.
Pia anaweza akaniwekea na...
Wakuu nilikua natafuta desktop computer mpya!hizi ni specification zake
Aina ya computer DELL,Intel Core i 3, 2gb memory
Kwa mwenye nayo hebu anipe bei!naweza kuwa mteja wake
Asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.