Asante sana mkuu, hapo kwenye mamlaka na majukumu ya Ombudsman; Je ikiwa mlalamikaji anadai zaidi ya kiasi hicho cha milioni kumi na tano, chombo gani kinapaswa kuwa msuluhishi hapo?
Habari wanajukwaa,
Naomba kujua utaratibu wa kufuata kuclaim fidia unapopata ajali kama abiria katika chombo cha usafiri. Ajali hiyo imemgarimu sana ndugu yangu matibabu na pia imempelekea kupata ulemavu wa kudumu. Je ni utaratibu gani afuate ili aweze kulipwa fidia?
Natanguliza shukrani.
Alafu pia magari almost kila baada ya miezi miwili yanahitaji service, hiyo ni mandatory iwe nzima au mbovu. tofauti na mwili wa binadamu. kwahyo hapo bima lazima zile hasara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanaJF,
Kuna wazo limenijia baada ya kupeleka gari yangu garage. Kama ilivyo tunavyotibiwa miili yetu katika hospitali kwa kutumia bima ya afya, ifike mahali sasa kuwe na bima ya afya ya magari na vyombo vingine vya moto na kama ilivyo kuna bima ya vyombo vya moto vinapopata ajali basi...
Nimewaza gari hizo kutokana na mazingira niliyopo. Nadrive offroad 20km daily. Naona hizo mbili ndio zitastahimili. Nimewaza pia Subaru forester new model, lakini baada ya miaka 2 naona itakua imekongoroka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana JF. Nina mpango wa kununua gari miezi ijayo mwaka huu. Ninaishi na kufanya kazi offroad. Hivyo nimefikiria kati ya machaguo mawili. Prado SX na Hilux Surf. Je nichukue ipi?
Nipo open kwa machaguo mengine pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji viti vya kunyolea,kiti kimoja cha kuoshea na basin lake. Ningependelea ningepata used sabab budget yangu sio kubwa sana kuweza kuafford vipya.
Nicheki 0767525054
Habari zenu wakuu,
Natafuta vifaa vya saloon ya kiume (barber shop) hasa viti either used au brand new, ilimradi bei iwe nzuri.
Kwa mawasiliano ni 0767525054 au PM.
Kwa anaehitaji vitunguu ananichek, ni kama gunia 50 red onions nipo moshi vimekomaa vizuri shambani tayari kwa kuvunwa, Mawasiliano 0767525054 bei maelewano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.