Mheshimiwa Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, hongera Kwa kazi kubwa unayowafanyia wakazi wa Dar.
Naomba upitie barabara kutokea Magomeni inayopita Tandale Ili iunganishe na barabara ya Shekilango, kuna uharibifu mkubwa wa mazingira. Barabara nzima imegeuzwa dampo ya magari...
Jamani wenzenu huki Masaki TANESCO wanakatiwa umeme Kila siku ikifika saa 12 jioni mpaka saa 6 usiku . Ukipiga simu wanakuanbia ni mgao.
Hivi ni mgao gani Kila siku usiku Kwa hiyo sisi tukitoka kazini hatutakiwi kuwa na umeme. Tunatoka asubuhi tunaenda kazini tukirudi tunakuta Giza Kila siku...
NAFASI YA KAZI YA HOUSEGIRL
Anahitajika mfanyakazi wa ndani (mwanamke) House Girl mwenye vigezo vifuatavyo:
1) Mtu mzima wa umri miaka kuanzia 30 mpaka 36
2) Awe na ujuzi wa kazi zote za ndani ikiwa ni pamoja na usafi na kupika
3) Ajue kuongea English na uzoefu wa kufanya kazi na wageni (...
Kule Masaki NSSF wanafanya ukarabati mkubwa wa gorofa zake. Ukarabati huo unahusisha uvunjaji na kubadilisha madirisha na magrill, kupaka rangi n.k. lakini kazi hii wanaifanya wenyewe hawakumpa Contractor wala hakuna usimamizi wa injinia wa majengo mwenye ujuzi, wanatumia vibarua wa mitaani...
NSSF imeteua Kampuni binafsi ya PROPER CONSULT kusimamia majengo yake na kuwataka wapangaji kufanya malipo kwenye Akaunti binafsi ya Kampuni hiyo iliyoko CRDB kinyume maelekezo ya Serikali kuwa malipo yote ya Serikali yafanyike kwa kutumia Control Number ili pesa zote ziingie Serikalini.
Hapa...
Nina kitu kinanishangaza,. kunsikitishai na kushindwa kuelewa sababu za serikali kuruhusu wanafunzi kusitisha masomo ili kuwasubiri na kuwashangilia wasanii wa muziki au filamu wanapofika mashuleni kutoa misaada.
Huu utaratibu umeendelea kwa.kipindi kirefu mpaka sasa. Hii leo tumeona kwenye...
Haya ninayoyasema nina uhakika nayo kwani nimemuuguza mdogo wangu mpenzi hapo Ocean.Road kwa miezi miwili na.kila siku nilikua.nashinda hapo hivyo ninachokizungumza ni kweli n.a. anaandika haya kwa uchungu mkubwa. Mfogo wangu amefariki wiki mbili zilizopita Mungu ailaze roho yake mahali pema...
Ukisubiri kufa ndio usihudumiwe kama ni hivyo basi hakuna haja ya hiyo hospital wala madaktaril kuwepo na serikali haina haja kuingia gharama kubwa kutibia wagonjwa ambao wanasubiriwa kufa. Unasema hivyo kwa sababu hujauguliwa na.ndugu mwenye cancer.
Mama huna hoja si ukae kimya au na wewe ni...
Wauguzi ambao ni manesii na madaktari wa Ocean Road ni kama wanaua wagonjwa kwa makusudi.
Wagonjwa wengi wanaolazwa Ocean Road hata wakiwa hawana hali mbaya wakishalazwa Ocean Road wanazidiwa na kufa badala ya kupata nafuu.
Nimeona wodi moja gorofa ya tatu kila siku unakuta mgonjwa mmoja...
Wanatafutwa wasichana wa kufanya kazi za ndani (House Girls). Awe na miaka 18 na kuendelea, Elimu ya darasa la 7 na kuendelea, awe mchapa kazi na mwaminifu. Awe tayari kuishi huko huko kwa mwajiri wake
Anatafutwa mwanamke/mama kwenda kufanya kazi za ndani (housemaid) nchini Dubai.
Awe na sifa zifuatazo:
Awe na umri wa miaka 35 na kuendelea
Muumini kwa Kiislam
Aweze kuongea Kiingereza na Kiswahili kwa ufasaha
Ujuzi wa kufanya kazi za ndani (house keeping) ni muhimu
Awe Mwaminifu na mchapa k
Anatafutwa msichana wa kufanya kazi kwenye stationery mwenye sifa zifuatazo:
Awe anafahamu vizuri kutumia computer na internet
Aweze kuchapa/kutype maneno zaidi ya 40 kwa dakika
Awe anajua kiingereza
Awe anaishi maeneo ya Keko, Chang'ombe au Temeke
Wanahitajika wafanyakazi wa majumbani (Housemaids) kwenda kufanya kazi Dubai, Ajman na Sharjah. Mshahara mzuri
Muombaji awe na umri wa miaka 24 na kuendelea, aweze kuongea kwa ufasaha kiingereza, kiswahili (akiweza kuongea kiarabu itakua vizuri zaidi)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.