Search results

  1. Steang

    Kufunga lenta ya msingi kwa kutumia waya badala ya nondo

    Hakuna lenta ya msingi, labda sijaelewa. Lenta ni sehemu ya jengo inayo tumika kuziba sehemu zilizo wazi, mfano Mlango na madirisha nijuavyo mimi. Angalia picha hizi.
  2. Steang

    Video: Sirro hawezi kujibu maswali Magumu, ashindwa kusema Taarifa za kiinteligensia ni nini?

    Waulize tuu wao Kachero wana mtambuaje na majukumu yake. Wana utani, tofauti ya siasa na utendaji ni kubwa mnoo. Mkuu wajuze labda, watoto wa kiume wambea hahaaahaa
  3. Steang

    Ujenzi wa nyumba ya room mbili

    Taja mahitaji na ukubwa wa kila sehemu, mfano chumba ukubwa 3/4msq, rangi aina ya fali bat na n.k. Utapata muongozo. Na kzma una kiwanja au huna
  4. Steang

    Video: Sirro hawezi kujibu maswali Magumu, ashindwa kusema Taarifa za kiinteligensia ni nini?

    Mtoa uzi napata tabu, naona kama una chuki, hajashindwa, tafuta mtu yoyote muandamizi mwenye akili timamu ya itifaki hiyo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama muulize juu ya intelejinsia akikujibu njoo unikate kidole. Nchi za watu mfamo Isalel, Uingereza n.k watakujibu kutokana na akili za watu...
  5. Steang

    Kwa mwenendo huu Diamond tutamsahau baada ya miaka miwili ijayo

    Mtoa uzi bwana!!! Umewaza muziki tu? Biashara vipi? Acha ubwege nazi tafuta hela
  6. Steang

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Shida huja na mbinu, asante
  7. Steang

    Misheni kubwa za taasisi ya upelelezi MOSSAD!

    Interesting story
  8. Steang

    Mtume J Mwingira Kahojiwa na kuachiwa Huru

    Haahaaaahaaa. Labda atakuja na Bulldozer
  9. Steang

    Mtume J Mwingira Kahojiwa na kuachiwa Huru

    Usitudanganye, utafanya nini?
  10. Steang

    Awamu ya Magufuli ingeendelea, hii nchi ingetumbukia shimoni

    Nilivyoona dp nikajua wale wasio na chogo hata akili hawana
  11. Steang

    Kipi Bora kati ya kununua Tofali na kufyatua mwenyewe

    Ndugu yangu. Kwa uwelewa wangu vyote ni bora ila kila sehemu ina unafuu wake na ugumu. 2m. Kwa mkoa wa tabora unapata tofali 2000 za 5nchi, 6inch ni tofal 1800. Hvi. Lakini ukifyatua utapat faida ya tofali 200 hv. nije kwenye mchangunuo. Saruji mfuko 23000. Mfuko kwa foundation wall ni 25-30...
  12. Steang

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Heko kwa kazi nzuri. Ila Nina lalamiko ninakatwa fedha yapata miezi mitatu hiu wa nne, nakura fedha zimekatwa, nikajaribu kutega, nikaacha kiwango kidogo ila baadae nikakuta Kuna fedha ndogo Sana, sasa nashindwa elewa tatizo nini?
  13. Steang

    Diva the Bawse asimamishwa kazi Clouds Media

    Write your reply...Alimpiga vijembe sana mru fulani leo chalii
  14. Steang

    Yupo wapi Kali P?

    Write your reply...Haaahaa, kwe kaselo kadogo
  15. Steang

    Wewe unapendelea kuvaa saa aina gani ya Mkononi?

    Write your reply...Yazole, Citizen na Seiko
  16. Steang

    Yupo wapi mwanamama Advera Senso/Bulimba?

    Write your reply...huyu mama bwana niliwahi kukaa nae maeneo ya Tabata Muslimu, ila kwa sasa nahisi atakuwa mkoa wa Mwanza
  17. Steang

    Tabora wanahitaji msukumo wa ziada kiuchumi

    Hahahaaa kwetu kuke mtuache tuu
  18. Steang

    Tabora wanahitaji msukumo wa ziada kiuchumi

    Sio kweli mkuu imebadilika
Back
Top Bottom