Hakuna lenta ya msingi, labda sijaelewa. Lenta ni sehemu ya jengo inayo tumika kuziba sehemu zilizo wazi, mfano Mlango na madirisha nijuavyo mimi. Angalia picha hizi.
Waulize tuu wao Kachero wana mtambuaje na majukumu yake.
Wana utani, tofauti ya siasa na utendaji ni kubwa mnoo.
Mkuu wajuze labda, watoto wa kiume wambea hahaaahaa
Mtoa uzi napata tabu, naona kama una chuki, hajashindwa, tafuta mtu yoyote muandamizi mwenye akili timamu ya itifaki hiyo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama muulize juu ya intelejinsia akikujibu njoo unikate kidole. Nchi za watu mfamo Isalel, Uingereza n.k watakujibu kutokana na akili za watu...
Ndugu yangu. Kwa uwelewa wangu vyote ni bora ila kila sehemu ina unafuu wake na ugumu.
2m. Kwa mkoa wa tabora unapata tofali 2000 za 5nchi, 6inch ni tofal 1800. Hvi. Lakini ukifyatua utapat faida ya tofali 200 hv.
nije kwenye mchangunuo. Saruji mfuko 23000. Mfuko kwa foundation wall ni 25-30...
Heko kwa kazi nzuri. Ila Nina lalamiko ninakatwa fedha yapata miezi mitatu hiu wa nne, nakura fedha zimekatwa, nikajaribu kutega, nikaacha kiwango kidogo ila baadae nikakuta Kuna fedha ndogo Sana, sasa nashindwa elewa tatizo nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.