Mbunge wa Jimbo la Muheza CCM leo ameshikiliwa na taasisi la kupambana na rushwa Muheza.Na anatajiwa kufikishwa mahakamani kesho tarehe 23.3.2012 ili kujibu tuhuma hizo zinazomkabili.:scared:
Mbuge wa jimbo la muheza(CCM) leo amehojiwa na Taasisi ya kupambana na rushwa(TAKUKURU)kwa vitendo vyake ya rushwa wakati wa uchaguzi wa mwaka 2010 .Na anatazamiwa kupandishwa kesho katika mahakama ya Wilaya kujibu tuhuma hizo.
natoa pongezi kwa serikali yetu ilivyojipanga kupambana na mgomo wa madaktari kwa kuwaajiza warusi,waquba na wahindi huziba pengo habari za ndani ya carpet wapo kwenye maandalizi ya mwisho kesho kutwa wanawasili hongera mh.pinda kwa ulivyojipanga.:A S 465:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.